• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri Zashauriwa Kujenga Shule za Waliofeli Kidato cha Nne

Imetumwa : February 11th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amezishauri Halmashauri za Mkoa wa Mbeya kuanza ujenzi wa  shule ya bweni kwa wanafunzi ambao hawajafanya vizuri katika mtihani wa kidato cha tatu na nne.

Mhe Chalamila amesema hayo leo tarehe 11 Februari, 2021 wakati akikagua ujenzi wa shule ya ya mchepuo wa kiingereza Kata ya Nsalaga lengo la Serikali kufanya hivyo ni kuwezesha watoto hasa wa kike waliofanya vibaya kupata fursa ya kuendelea na masomo.

"Unajua tukipata uongozi kutoka kwenye hayo majeshi sambamba na shule hiyo, pia kuwapo kwa msikiti na kanisa kwa ajili ya ibada Ijumaa na Jumapili, watoto hawatoweza kufanya vibaya ,"amesema Chalamila.

Maelezo ya mkuu wa mkoa yameungwa mkono na wakazi jijini, wakisema utawezesha watoto kufanya vizuri katika mitihani na kuepuka vishawishi ambavyo ni chanzo cha kufanya vibaya.

Mkazi wa jiji, Salina George amesema changamoto kubwa kwa watoto wa kike kufanya vibaya ni kutokana na vishawishi wanapokwenda shule na wanapotoka kwasababu ya umbali.

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 November 21, 2020
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Watakiwa Kuongeza Kasi ya Ukusanyaji Mapato

    February 13, 2021
  • Halmashauri Zashauriwa Kujenga Shule za Waliofeli Kidato cha Nne

    February 11, 2021
  • Homa ya Mapafu Chanzo cha Kifo cha Dereva

    February 01, 2021
  • Mkoa wa Mbeya Wajiwekea Malengo ya Upandaji miti

    January 13, 2021
  • Tazama Zaidi

Video

Viongozi watakiwa kuwa wasafi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Wasifu wa Mkoa wa Mbeya 2015
  • Mpango Mkakati wa Mkoa 2018-2023
  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Mpango Mkakati wa Kuendeleza Sekta za Kilimo 2020 - 2025
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi: 255 784838650

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.