• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Homa ya Mapafu Chanzo cha Kifo cha Dereva

Imetumwa : February 1st, 2021

Kamati ya watu saba iliyoundwa naMkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe Albert Chalamila kuchunguza kifo cha dereva wa lori, Abrahaman Issa imebaini kuwa ugonjwa wa homa ya mapafu ndio chanzo cha kifo cha mkazi huyo wa Temeke jijini Dar es Salaam.

Mhe Chalamila ametoa taarifa ya kamati hiyo leo Jumanne Februari2, 2021 katika mkutano wake na waandishi wa habari aliyoiunda kusaka ukweli wa kifo cha dereva huyo kilichozua utata baada ya wenzake kudai alifia kituo cha polisi huku polisi wakieleza kuwa alikufa baada ya kufikishwa hospitali na kwamba alikuwa na homa ya mapafu.

“Kamati iliyohusisha vyombo vya dola imefanya uchunguzi wa kina uliohusisha madaktari bingwa walichukua sampuli za vipimo katika kichwa na kifua ili kujiridhisha kama kunaweza kukawa na shida ambayo aidha ilitokana na kipigo au.”

“Lakini ilibainika tatizo ni homa kali ya mapafu na kabla ya kupatwa na tatizo hilo alikuwa na tatizo la pumu kwa kipindi kirefu. Unajua pumu au homa ya mapafu haistahili mtu kukaa kwenye chumba chenye baridi, licha ya afya yake kudhoofu huenda ilichangia kudhoofika zaidi na kusababisha umauti kumkuta kutokana na kukaa kituo cha polisi kwa masaa kadhaa,” amesema Chalamila.

Kuhusu sehemu aliyofariki dunia, Chalamila amesema,” kamati ilibaini afariki dunia saa 3 usiku akiwa katika gari la polisi akipelekwa kupatiwa matibabu katika kituo cha afya igawilo jijini Mbeya.”

Amesema Issa alipofikishwa katika kituo hicho daktari aliyekuwa zamu alibaini kuwa alikuwa amefariki dunia, mwili wake ulihifadhiwa.

Chalamila amesema amemuagiza kamanda wa polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei kugharamia shughuli zote za mazishi ya Issa.

"Nimezungumza na ndugu wa marehemu kama watakuwa tayari kuchukua mwili kwa mazishi nimetoa kibali leo na kama hawajaridhishwa na majibu ya kamati kama Serikali tutawasikiliza uamuzi wao,” amesema.

Awali mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wa malori, Abubakar Msangi amesema baada ya kupatiwa ripoti hiyo ndio watatoa majibu.

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 November 21, 2020
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Watakiwa Kuongeza Kasi ya Ukusanyaji Mapato

    February 13, 2021
  • Halmashauri Zashauriwa Kujenga Shule za Waliofeli Kidato cha Nne

    February 11, 2021
  • Homa ya Mapafu Chanzo cha Kifo cha Dereva

    February 01, 2021
  • Mkoa wa Mbeya Wajiwekea Malengo ya Upandaji miti

    January 13, 2021
  • Tazama Zaidi

Video

Viongozi watakiwa kuwa wasafi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Wasifu wa Mkoa wa Mbeya 2015
  • Mpango Mkakati wa Mkoa 2018-2023
  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Mpango Mkakati wa Kuendeleza Sekta za Kilimo 2020 - 2025
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi: 255 784838650

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.