• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Katibu Tawala Mkoa Azindua Mafunzo ya PlanRep Mbeya

Imetumwa : August 7th, 2017

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya, Bibi Mariam Mtunguja amezitaka Halmashauri zote ambazo hazijaingia wala kupata mafunzo kutoka kwenye Mpango wa Uimarishaji wa mifumo ya sekta za umma(PS3) kuhakikisha zinatenga bajeti ili kuingia kwenye mfumo huo.

Bibi Mtunguja ametoa wito huo leo alipokuwa anafungua mafunzo ya Mfumo mpya wa kuandaa mipango na bajeti za Mamlaka ya Serikali za mitaa (PlanRep) na kuimarisha utoaji huduma kwa Wananchi nchini yaliyofanyika katika ukumbi wa Usungilo Jijini Mbeya.

Amesema kuwa kupitia mfumo huo ambao umeboreshwa unakwenda kuondoa changamoto ambazo zilikuwepo  kwenye mfumo wa zamani hivyo ni muhimu kwa kila Halmashauri nchini kupata mafunzo haya.

Bibi Mtunguja amesema kuwa kutokana na mabadiliko  haya na kurahisishwa kwa teknolojia  mfumo mpya wa PlanRep umerahisishwa  kwa kufanywa  kuwa "Web Based" na utawezesha Halmashauri kuingiza  taarifa za mipango na bajeti moja kwa moja kwa njia ya mtandao na kutumwa kwenye mfumo  uliopo OR- TAMISEMI.

Naye Mwakilishi wa Mradi wa PS3 Dr. Gemin Mtei amesema kwamba mradi huo unaofadhiliwa na Serikali ya Marekani (USAID) ulipelekwa kwenye mikoa 13 na Halmashauri 93 za Tanzania bara ambapo mfumo huu ni wa Kitaifa na uko kwenye toleo la mfumo wa Kielektroniki ambao unatambulisha teknolojia ya mawasiliano na kufanya upatikanaji wake kuwa rahisi mahali popote na muda wowote.

Dr. Mtei amesema kuwa mafunzo hayo yanatolewa na timu ya Wakufunzi kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Sekretarieti za Mikoa,Wakala wa Serikali Mtandao(eGA) Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Wizara ya Fedha na Mipango,PS3  pamoja na Wizara ya Afya.

 Mafunzo hayo yamehudhuriwa na  Maafisa Mipango, Wahasibu, Wachumi, Maafisa Tehama na Makatibu wa Afya wa Halmashauri zote kutoka Mikoa minne ya Mbeya, Njombe, Iringa na Songwe.



Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 November 21, 2020
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Mkoa wa Mbeya Wajiwekea Malengo ya Upandaji miti

    January 13, 2021
  • Mbeya Yaja na Mkakati Mpya wa kupunguza Upungufu wa Vyumba Vya Madarasa

    December 09, 2020
  • Mbeya Waadhimisha Siku ya Uhuru kwa Kupanda Miti

    December 09, 2020
  • RC Aagiza Kuchunguza Upotevu wa 800M za Walimu

    December 04, 2020
  • Tazama Zaidi

Video

Viongozi watakiwa kuwa wasafi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Wasifu wa Mkoa wa Mbeya 2015
  • Mpango Mkakati wa Mkoa 2018-2023
  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Mpango Mkakati wa Kuendeleza Sekta za Kilimo 2020 - 2025
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi: 255 784838650

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.