• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wachimbaji Madini Watakiwa Kuwa Wazalendo

Imetumwa : March 4th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila amemtaka mwekezaji wa machimbo ya malulumalu Bw. Michael Simbaulemi kuwa mzalendo kwa kulinda kwa rasilimali ya madini na kuhakikisha wananchi na serikali wanafaika na madini hayo

Mhe. Chalamila ameyasema hayo leo alipotembelea na kukagua machimbo ya malumalu (malble) yaliyopo Kata ya Itawa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya na kumtaka mwekezaji wa machimbo hayo asaidie katika kuimarisha huduma za jamii za eneo hilo.

“Ni faida kubwa kwa madini kama haya kugundulika hapa kwetu na tuamini baada ya muda taifa litapata fedha nyingi kupitia madini hayo ambazo zitasaidia katika kuimarisha miundombinu ya barabara, afya na elimu”. Mhe Chalamila

Naye Afisa Madini Mkazi Mkoa wa Mbeya Ndugu Sabai Nyansiri amesema kuwa mwekezaji wa machimbo hayo ni mzawa wa na anan leseni ya uchimbaji mdogomdogo kwa masharti ya kufanya kazi na kuajiri wananchi wa vijiji vinavyozunguka machimbo hayo.

Bw. Nyansiri amemtaka mwekezaji huyo kulinda mazingira ya machimbo hayo na kuongeza ukubwa wa mitaro ili mawe yanayochimbwa yasije kuporomoka na kuleta athari kwa wananchi.

Mwekezaji wa Machimbo hayo Bw. Michael Simbaulemi Amesema kuwa tayari ameshachimba mawe sita ambayo yapo tayari kusafirishwa kwenda Brazili pale taratibu na vibali vitakapokuwa tayari kwa sababu bado Serikali haijaruhsu kusafirisha madinin nje ya nchi.

Bw. Simbaulemi amesema ameajiri vijana kutoka vijiji vilivyopo katika maeneo ya machimbo ingawa baadhi ya wananchi hawataki kufanya kazi katika machimbo

Bw. Simbaulemi ameomba ushirkiano kutoka kwa halmashauri kwa kusema kampuni yake bado ni changa sana na mradi wake umeanza mwezi Aprili ,2017

Matangazo

  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Matokeo ya Darasa la Saba 2020 November 21, 2020
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Mkoa wa Mbeya Wajiwekea Malengo ya Upandaji miti

    January 13, 2021
  • Mbeya Yaja na Mkakati Mpya wa kupunguza Upungufu wa Vyumba Vya Madarasa

    December 09, 2020
  • Mbeya Waadhimisha Siku ya Uhuru kwa Kupanda Miti

    December 09, 2020
  • RC Aagiza Kuchunguza Upotevu wa 800M za Walimu

    December 04, 2020
  • Tazama Zaidi

Video

Viongozi watakiwa kuwa wasafi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Wasifu wa Mkoa wa Mbeya 2015
  • Mpango Mkakati wa Mkoa 2018-2023
  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Mpango Mkakati wa Kuendeleza Sekta za Kilimo 2020 - 2025
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi: 255 784838650

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.