• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wananchi Watakiwa Kulinda Miundombinu ya Maji

Imetumwa : March 23rd, 2021

Mkuu wa Mkuu wa Mbeya Mhe Albert Chalamila amewataka wananchi wake kuwa walinzi wa miundombinu katika miradi ya maji inayopelekwa katika maeneo yao huku wakitambua na kuzingatia kuwa, lengo la Serikali ni kuboresha maisha yao kwa kuwasogezea huduma.

Alisema hayo alipozungumza na wakazi wa kijiji cha Lugombo, kata ya Kandete katika Halmashauri ya  Busokelo wilayani Rungwe akiwa ziara ya kukagua mwendelezo wa ujenzi wa Mradi wa Maji wa Mwakaleli 1 Skimu ya Ndala unayotekelezwa kwa akaunti ya dharura.

Alisema kuwa kumekuwa na kasumba ya baadhi ya watu kuhujumu miundombinu ya miradi ya maji hatua inayorudisha nyuma jitihada za seikali kuwafikishia wananchi huduma bora za kijamii

“ Yapo baadhi ya maeneo hususani yaliyo na wafugaji, watu wanaotumia mishale kutoboa mabomba yanayopitisha maji kupeleka kwa wananchi ili wanyweshe mifugo yao. Sasa kuna wakati tunafikiri  na wao tutumie mishale hiyo hiyo kuwatoboa ili tuwaulize kuna maumivu kiasi gani” alisema Mkuu wa Mkoa

Akaongeza “ Tutambue kuwa serikali imedhamiria wananchi kuondokana na tatizo la maji..Vyanzo vya maji tunavyo, lakini maji hatujayaweka vizuri ili yafike kwa wananchi, wapo watu wachache wanaotaka kutukwamisha: tuseme hapana” Chalamila

Awali, Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Usambazaji Maji Vijijini (RUWASA) Paul Kambona alisema, mwanzoni mradi huo katika skimu ya Ndala ulikuwa unatekelezwa na RUWASA kwa usimamizi wa wilaya baada ya mkandarasi kusuasua

Alisema Skimu ya Ndala ina vijiji vinane na mradi unatarajiwa kunufaisha wakazi 12,217. Hadi sasa ujenzi wa chanzo umekamilika na sasa shughuli inayoendelea ni uchimbaji mitaro kwa ajili ya kuanza kulaza mabomba.

Alizitaja changamoto zinazokwamisha mradi huo kuwa ni pamoja na ubovu wa barabara kuelekea mahali kilipo chanzo vha maji unaosababisha kushindwa kufikisha mabomba kutokana na mvua nyingi zinazoendelea kunyesha wilayani hapa.

Matangazo

  • Badili Tahasusi kwa Wanafunzi wa Kidato Cha Tano Tarajiwa na Vyuo vya Kati March 29, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Wawekezaji Watakiwa Kufuata Sheria na Taratibu za Nchi

    April 08, 2021
  • Shule Yapewa Jina la Chifu wa Kisafwa

    April 06, 2021
  • 269 Milioni Zatolewa Kwa Wanawake,Vijana na Walemavu

    March 12, 2021
  • Halmashauri ya Jiji Yapewa Siku 3

    March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Video

RC Atoa Onyo Kuelekea Uchaguzi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Wasifu wa Mkoa wa Mbeya 2015
  • Mpango Mkakati wa Mkoa 2018-2023
  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Mpango Mkakati wa Kuendeleza Sekta za Kilimo 2020 - 2025
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi: 255 784838650

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.