Chimbuko la neno Chunya limetokana na kijito kidogo cha maji kilichokuwa karibu na makao makuu ya kwanza ya wilaya ya
Chunya.Kijito hicho kilitokea hasa kipindi cha mvua(kifuku) na hii ni kutokana na hali ya hewa ya Chunya ambayo ina asili
ya ukame.Makabila ya asili kabisa ya wakazi wa Chunya ni waguruka,wakimbu ambao Zaidi walikuwa wakiishi maeneo ya
kipembawe na wabungu ambao waliishi katika bonde la mto Songwe, lakini ndani ya haya makabila matatu kulikuwa na makabila
MKUU WA WILAYABi Rehema Madusa
KATIBU TAWALA WA WILAYA
Bi Mahija Ndembo
Uzunguni Road
Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.
Simu: 025 2503034
Simu ya Mkononi:
Barua pepe: ras@mbeya.go.tz
Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa