• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uchimbaji Madini

SEKTA YA MADINI

UTANGULIZI     

Ofisi ya Madini Kanda ya Kusini Magharibi (inayojumuisha Ofisi ya Madini-Mbeya pamoja na Ofisi ya Afisa Mkazi wa Madini-Chunya) ni moja kati ya Ofisi kumi (10) za Kanda zinazosimamia shughuli za madini nchini Tanzania. Ofisi hii inasimamia shughuli za madini katika mikoa ya Mbeya na Iringa.

Majukumu ya Ofisi ni usimamiaji wa Sheria ya Madini ya Mwaka 2010 na Kanuni zake za Mwaka 2010 pamoja na usimamizi wa Sheria ya Baruti ya Mwaka 1963 na Kanuni zake za Mwaka 1964. Miongoni mwa shughuli hizo zinazofanywa kwa mujibu wa sharia tajwa hapo juu ni pamoja na ukaguzi wa migodi mikubwa na midogo, ukaguzi wa maghala ya baruti, utoaji wa leseni mbali mbali ambazo ni uchimbaji, biashara ya madini na zinazohusiana na masuala ya baruti pamoja na ukusanyaji wa maduhuli ya Serikali yatokanayo na shughuli za madini.

Vilevile, Ofisi hutoa mafunzo mbalimbali ya uchimbaji salama, utunzaji wa mazingira pamoja na biashara ya madini kwa wachimbaji waliopo katika Kanda.

  •  
  • MADINI YAPATIKANAYO 

Tafiti mbalimbali zimebaini uwepo wa madini mbalimbali katika Kanda. Baadhi ya madini hayo ni Dhahabu, Niobium, Makaa ya Mawe, Chokaa, Shaba, Travetine, n.k.

  • UTOAJI WA LESENI NA VIBALI MBALIMBALI

Kwa Mwaka wa Fedha 2014/2015, Jumla ya leseni 136 za uchimbaji mdogo, leseni 2 za biashara kubwa ya madini (Dealer’sLicence) pamoja na leseni 31 za biashara ndogo ya madini (BrockersLicence) zimetolewa.

Vilevile, vibali 16 vya kulipua baruti (BlastingCertificates) pamoja na vibali vya kusafirishia na kununua baruti 28 (Licencetopurchase/AcquireExplosives) vilitolewa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa