• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kupata Leseni ya Biashara

Kuna makundi mawili ya Leseni za Biashara, Kundi A na Kundi B. Leseni za Kundi A hutolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) na Leseni za Kundi B hutolewa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (Halmashauri).

Masharti/mahitaji ya jumla kwa makundi yote ya Biashara (Kundi A na Kundi B).

  • Namba ya Utambulisho wa Mlipa Kodi (TIN hutolewa TRA)
  • Cheti cha uthibitisho wa mlipa kodi (Tax Clearance Certificate hutolewa TRA)
  • Kitambulisho cha uraia wa mfanyabiashara ( kimojawapo kati ya hivi Passport ya kusafiria, Cheti cha kuzaliwa, cheti cha Utaifa (NIDA) na kiapo toka mahakani/Affidavit )
  • Mkataba wa pango kama mfanyabiashara amepanga eneo la biashara au Risiti ya Kodi ya jengo kama mfanyabiashara anafanyia biashara katika nyumba yake.
  • Ada ya leseni. Ada hutozwa tofauti kati ya biashara moja na biashara nyingine, pia hutozwa tofauti kulingana na hadhi ya Halmashauri husika.

NB: Hata hivyo katika Makundi yote ya Biashara Kundi A na Kundi B kuna aina mbili za Biashara, biashara za kitaalam na biashara za kawaida. Biashara za Kitaalamu kama Madawa, Sheria, uhandisi, kuendesha shule, zahanati, hospitali n.k zina masharti ya ziada kutegemea aina ya Biashara na Biashara za kawaida zinatumia masharti matano (5) hapo juu ili kupata leseni ya biashara.

 

Matangazo

  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • WANAWAKE WA KIISLAM MBEYA WAOMBA DUA MAALUMU KWA RAIS SAMIA

    October 29, 2023
  • Rc HOMERA AACHA ALAMA ISIYOFUTIKA KKKT DAYOSISI YA KONDE

    October 29, 2023
  • WATAALAMU NA MAAFISA MANUNUZI KUWENI NA NIDHAMU YA MATUMIZI YA FEDHA-RC HOMERA

    October 24, 2023
  • Mh. HOMERA AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA VYENYE DAWA MASHULENI

    October 19, 2023
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa