• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC Azitaka Kaya Zinazowezeshwa na TASAF Kufuga Mifugo ya Asili

Imetumwa : March 4th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali Mhe. Reuben Mfune amezitaka kaya zote zinazowezeshwa na Mpango Taifa wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF) kujishughulisha na ufugaji wa Kuku pamoja na Bata wa asili kwani mifugo hiyo inastahimili magonjwa, soko lake ni kubwa na ufugaji wake hauna changamoto nyingi kama ilivyo kwa mifungo mingine.

Mhe. Mfune ameyasema hayo siku ya tarehe 02/03/2021 alipofanya ziara ya kuzitembelea kaya hizo katika Kata ya Ubaruki Kijiji cha Mpakani ili kusikiliza kero zinazowakabili sambamba na kujionea hatua za maendeleo walizofikia mara baada ya kuwezeshwa na mfuko huo.

“Kikubwa kilichonileta ni kuja kuwatembelea na kuwapa salamu za Serikali. Serikali itaendelea kuwawezesha kwani kwa kiasi kikubwa wale wote ambao wamekuwa wakitumia fursa hii vizuri, wameendelea kufanya vitu vikubwa zaidi. Endeleeni kujifunza na kutafuta shughuli nyingine, kwani kufanya hivyo kutawafikisha mbali.”

“Nimefurahi kuona mafanikio yenu, kila mtu kuna hatua ambayo amepiga, kuna wengine wamekarabati nyumba zao, wengine wanafuga mifugo na wengine wanajihusisha na ujasiriamali mdogo mdogo.”

“Changamoto ya magonjwa ya mifugo tutuwasaidia sababu wataalumu wapo. Kuhusiana na changamoto ya wizi nakwenda kulifanyia kazi, na nikiwa nalifanyia kazi muendelee kujilinda. Kwa wale ambao wana maeneo ya kutosha mujaribu kujiwekea wigo za maua, miba au hata tofari kwenye nyumba zetu.” Alisema Mhe Mfune

Naye mwenyekiti wa kijiji cha Mpakani Bwana Amos Mgongolwa amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kwenda kuwatembelea, kusikiliza changamoto pamoja na kujionea mafanikio waliyofikia wanufaika wa kijiji cha Mpakani ambao wanawezesha na mfuko wa TASAF.

Wanufaika wa mfuko huo wamemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kuwatembelea kwani kufanya hivyo kumewaongezea ari ya kufanya vizuri zaidi na wameahidi kufanyia kazi ushauri pamoja na maelekezo waliyopewa ili waweze kusonga mbele.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa