• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri Zaagizwa 10% Zianzishe Vitalu Vya Miche ya Maparachichi na Michikichi

Imetumwa : August 2nd, 2021


WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, ameagiza halmashauri zote nchini asilimia 10 zinazotengwa kwa ajili ya mikopo kuelekezwa kwenye kuanzisha uzalishaji wa vitalu vya miche ya zao la parachichi na kusambazwa kwa wakulima bure ili kuongeza tija ya uzalishaji.

Majaliwa ametoa maagizo hayo wakati alipotembelea mashamba ya kilimo cha zao la parachichi katika kiwanda cha Kuza wilayani Rugwe Mkoa wa Mbeya na kuagiza Maofisa Kilimo wote, kwenda mashambani kwani wamekuwa wanakaa na kutokua na mashamba ya mifano.

Amesema Maofisa Kilimo si kazi yao kukaa maofisini na badala yake, kwenda mashambani kutoa elimu kwa wakulima kwani kazi yao ni kukaa vijijini na si maofisini.

Waziri Mkuu amesema Wilaya ya Rungwe, wananchi wake wamekuwa wakijikita katika kilimo cha zao hilo na kwamba kama serikali, itaboresha mifumo rafiki ya masoko ya uwekezaji mkubwa kwa wakulima wilayani humo na kupiga marufuku mfumo wa rumbesa wa mazao hususan viazi mviringo.

Pia amesema malengo ya ziara yake ni kuangalia utekeleza wa maagizo ya serikali katika halmashauri zote, ikiwa ni pamoja na kutatua kero na migogoro kwani ndiyo kazi yake kwa Watanzania.

Kwa upande wake Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya, Suma Fyandomo amesema wakulima wa Wilaya ya Rungwe wanalima mno mazao, lakini changamoto kubwa kwao ni ukosefu wa masoko.

Amesema mara nyingi wakulima wamekuwa jitihada kubwa za kilimo cha ndizi,viazi, maparachichi na matunda ya aina mbalimbali,tunaomba mtusaidie kiwanda ambacho kutasaidia wakulima kupeleka matunda yao badala ya kuharibika.

Naye Naibu Waziri wa Kilimo, Hussen Bashe amesema hivi karibuni watakaa na Wakuu wa Mikoa wote nchini ambako wanazalisha viazi, ili kuondoa tatizo la kuuza viazi holela.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa