• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HJF Medical Research International Provide Medical Equipment for 5 Regions of Southern Highlands

Imetumwa : March 21st, 2017


PEPFAR (Partnering Achieve Epidemic Control in Tanzania) kupitia Shirika la Henry Jackson Medical Research International (HJFMRI) wamekabidhi vifaa vya minyororo baridi vyenye thamani ya sh. 266,195,970 sawa na Dola za Kimarekani 121,215 kwa ajili kusaidia kutunza sampuli za na kufikisha maabara zikiwa bado na ubora unaotakiwa na baadae kupata majibu yaliyo sahihi.

Akipokea vifaa hivyo Katibu Tawala Msaidizi Mamlaka ya Serikali za Mitaa kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa Bw. Constantine Mushi amewashukuru PEPFAR kupitia Shirika la HJFMRI kwa kazi kubwa wanayofanya katika Mikoa ya Mbeya, Songwe, Ruvuma, Rukwa na Katavi kwa takribani miaka 13.

Bw. Mushi amesema kuwa Serikali chini ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ilianzisha utaratibu wa kupima wingi wa VVU katika damu kwa wateja wanaotumia dawa za kufubaza virusi vya UKIMWI ikiwa ni sehemu ya Mkakati wakuzuia Maambukizi ya VVU na kuboresha huduma za  UKIMWI.

“ Katika shughuli ya kupambana na maambukizi ya VVU baadhi ya Hospitali  na Vituo vya Afya vimechaguliwa kama vituo vya kukusanyia sampuli  za damu kutoka vituo vidogo kwa hiyo vifaa hivi vimekuja wakati muafaka kuwezesha Hospitali na Vituo vya Afya kupokea sampuli zikiwa salama na zenye ubora kwa ajili ya kupima wingi wa VVU”.

Bw. Mushi amewaagiza Waganga Wakuu wa  Mikoa na Wilaya kuendelea kuhamasisha jamii kujitolea kupima Afya zao na kwa wale wote walio katika dawa za kufubaza VVU kupimwa wingi wa virusi ili kuweza kuwa na jamii isiyo na maambukizi.

Naye Mganga Mkuu wa Mkoa amewataka Waganga Wakuu wa Wilayakutunza na kusimamia vifaa hivyo na kuhakikisha vinafika  hospitali zao kwa ajili ya matumizi husika na hivyo, Aidha amewataka Waganga wakuu wa Wilaya kutenga bajeti kila mwaka kwa ajili ya kufanyia matengenezo vifaa hivyo kwa wakati.

PEPFAR (Partnering Achieve Epidemic Control in Tanzania) kupitia Shirika la Henry Jackson Medical Research International (HJFMRI)umekabidhi Majokofu93, Centrifuge mashine 40 naMajokofu madogo ya kubebeba sampuli 40 kwa Mikoa ya Mbeya, Rukwa, Ruvuma, Songwe na Katavi

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa