• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Madiwani Watakiwa Kusimamia Mapato

Imetumwa : August 14th, 2018

Madiwani wa Halmashauri ya Rungwe wametakiwa kusimamia na kuhakikisha kuwa mapato yote yanayokusanywa kutoka kwenye vyanzo vya ndani na Ruzuku ya Serikali yanatumika katika malengo yaliyokusudiwa.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila wakati akifungua Kikao cha Baraza la Madiwani kujadili hoja za Ukaguzi na kusema ukusanyaji wa mapato ya ndani ni lazima uendane na nidhamu ya matumizi ya mapato hayo.

Mhe. Chalamila amesema kuwa madiwani wanatakiwa kufanya ufuatailiaji wa mara kwa mara ili kuhakikisha miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao na manunuzi yote ya umma yanayofanyika yana thamani ya fedha iliyotumika.

Amesema madiwani wanalo jukumu la kuhakikisha vyanzo vyote vya mapato vinakusanywa kwa kutumia mfumo wa kieletroniki ili kuziba mianya ya upotevu wa fedha za umma.

“Simamieni uwazi na uwajibikaji wa Watendaji kwa kuwapa wananchi taarifa sahihi za mapato na matumizi ya miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao kupitia mikutano ya hadhara na mbao za matangazo” Chalamila.

Akimkaribisha Mkuu wa Mkoa,Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya Bibi Mariam Mtunguja amesema kuwa kikao hicho cha kujadili Majibu ya Hoja za Ukaguzi na utekelezaji wa mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kina umuhimu wa pekee kwa maendeleo ya Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe.

Bibi Mtunguja amesema kuwa kupitia kikao hiki wananchi na wadau mbalimbali wa Halmashauri hii watapata fursa ya kusikia na kufuatilia shughuli za maendeleo zinazotekelezwa katika Halmashauri yao.

Amewataka madiwani kuwa na ushirikiano na mshikamano katika kujenga halmashauri yao na kusema kuwa nguvu ya pamoja ndiyo inayoendesha Halmashauri na kusukuma maendeleo ya wananchi.

Naye Ezekiel Mwanyemele Mweneyekiti wa Halmashauri ya Rungwe amempongeza Mkuu wa Mkoa kwa kuteuliwa na kuwahidi kusimamia mapato ya halmashauri hayapotei kizembe ili kuhakikisha miradi iliyopangwa inatekelezwa kwa wakati na kwa ubora.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa