• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Matema Wanufaika na Maboresho ya Mradi wa Maji

Imetumwa : February 24th, 2021

Wakazi wa vitongoji vya Bukombe na Igumbi kijiji cha Matema Wilaya ya Kyela wameondokana na tatizo la ukosefu wa majisafi lililodumu zaidi ya miaka 10.

Meneja wa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) wilayani Kyela, Tanu Haule amesema hali hiyo inatokana na kukamilika kwa ukarabati wa Mradi wa Maji wa Matema wilayani humo

Amesema zaidi ya sh milioni 29 zilitolewa na serikali zimetumika kukarabati wa dharura wa mfumo wa maji ulioharibika miaka ya nyuma.

Deule alibainisha hayo alipotoa taarifa ya mradi huo kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila  alipokuwa akikagua baadhi ya vituo vya kutolea maji,  kikiwemo kilichopo Soko la Samaki la Matema

Alisema ujenzi wa mradi huo ulihusisha ununuzi wa mabomba ya plastiki na viungio vya mabomba, kuchimba mitaro na kulaza mabomba urefu wa mita 900 na kutolea maji na baadaye kuunganisha majumbani.

“Fedha zilizotumika kwenye mradi huu ni serikali kupitia mpango wa ‘Lipa Kwa Matokeo’ unafadhiliwa na Serikali ya Uingereza.Awali ilikadiriwa kutumika shilingi milioni 20 lakini baadaye kazi ziliongezeka na tukafikia milioni 29 mpaka kukamilisha eneo la chanzo cha maji.

“Awali wakazi wa vitongoji husika walipata wakati mgumu sana kupata maji kwa ajili ya matumizi ya majumbanina kulazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo kwenye mto na visima vifupi vya kuchimba. Alisema

Alisema manufaa mengine ya mradi huo ni kuboreshwa kwa usafi katika soko la samaki,  Awali kulikuwa na chanagamoto kubwa hususani katika vyoo vya soko, kwani watu walilazimika kuchota maji ziwani kwa ajili ya matumizi sokoni hapo.

Meneja huyo alisema miongoni mwa changamoto zinazoukabili mradi huo ni uwepo wa njia ya watalii jirani na bomba kuu linalopitisha maji kutoka chanzo cha maji  ambapo hatua hiyo inahatarisha usalama   wa bomba hilo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa