• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mbeya Region Defense and Security Committee Visited Itungi Port

Imetumwa : April 11th, 2017

Kukamilika kwa utengenezaji wa Meli za Mizigo na abiria katika Bandari ya Itungi  kutafungua fursa za kiuchumi na kufungua fursa za kimapato kwa Wananchi na Serikali na kupunguza gharama za uendeshaji wa biashara kwa kutumia miundombinu ya barabara.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Amos Makalla wakati Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ilipofanya ukaguzi wa utengenezaji wa Meli tatu mpya za Mizigo na Abiria katika Bandari ya Itungi Wilayani Kyela.

Mhe. Makalla amesema kuwa kukamilika kwa Meli hizo kutasaidia usambazaji wa bidhaa mbalimbali ambazo viwanda vilivyopo Mbeya vinapata shida kuzunguka kupata. Aidha, mradi huu utaunganisha Tanzania na Malawi ambapo nchi ya Malawi inategemea sana usafiri wa Meli kwa ajili ya kusafirishia bidhaa za kutoka na kuingia nchi hiyo.

“ Mahitaji na matumizi ya wananchi ni makubwa mno na Serikali ya Mkoa inataka kuona utengenezaji wa Meli hizi unakamilika kwa wakati ili wananchi waanze kunufaika mapema na jitihada za Serikali yao”.

Kwa upande wake Meneja wa Bandari Kyela Bw. Ajuaye Msese amesema kuwa mradi wa ujenzi wa Meli unaendelea utarahisisha shughuli za kiuchumi kijamii na kiusalama kwa wanancnhi wa eneo la Bandari. Mamlaka imelenga kuifanya Bandari ya Itungi kuhudumia abiria na Mizigo mchanganyiko na ile ya Kiwira kuhudumia Mizigo kama Makaa ya Mawe, Mbolea na Saruji kama sehemu ya utekelezaji wa sheria ya Mazingira.

Bw. Msese amesema kuwa Mamlaka iko katika hatua nzuri za kuhakikisha inapata eneo katika Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya ujenzi wa Bandari Kavu ambayo itakuwa kiungo muhimu kwa Mizigo inayosafirishwa kutoka Dar es Salaam kupitia reli ya TAZARA kwenda nchi jirani Malawi, Zambia na DRC.

Naye Mkuu wa Wilaya wa Kyela Bi. Claudia Kita ameahidi ushirikiano wa kutosha kwa Mamlaka ya Bandari katika kuzuia shughuli za kibinadamu pembezoni mwa Mito ili kuzuia mchanga kujaa katika kingo za ziwa Nyasa

Matangazo

  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Katibu Mkuu Dkt. Jingu: Jamii ipewe elimu kuhusu Anwani za Makazi

    May 18, 2022
  • DKT. JINGU APONGEZA ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI MKOANI MBEYA

    May 17, 2022
  • Waziri Nape aupongeza Mkoa wa Mbeya katika zoezi la Anwani za Makazi

    May 13, 2022
  • Rc Homera atatua mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa miaka miwili

    May 13, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

RC Atoa Onyo Kuelekea Uchaguzi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.