• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Miradi ya Sh Bilioni 26 Kutembelewa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2019

Imetumwa : September 3rd, 2019

MIRADI 59 yenye thamani ya Sh bilioni 26.3 itatembelewa wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Mbeya.

Kati ya hiyo, 13 itazinduliwa na mingine kuwekewa jiwe la msingi na baadhi kukabidhiwa kwa walengwa.

Akizungumza jana wakati wa makabidhiano ya mbio hizo katika Kijiji cha Kambikatoto, Wilaya ya Chunya, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila alisema miradi hiyo yote, fedha za Serikali zilizotumika ni Sh bilioni 20.5, nguvu za wananchi Sh bilioni 2.1 Mfuko wa Jimbo Sh milioni 28.5 na fedha za wahisani Sh bilioni 2.3.

Katika mbio hizo ambazo ujumbe wa mwaka huu ni “maji ni haki ya kila mtu, tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki Uchaguzi wa Serikali za mitaa”, baadhi ya miradi imewekewa jiwe la msingi na kuzinduliwa Wilaya ya Chunya.

Miradi hiyo ni pamoja na kufunguliwa katika Kijiji cha Lupa, kuweka jiwe la msingi Kijiji cha Ndalambo, nyumba ya walimu na shule ya sekondari Momba.

Mingine ni kuweka jiwe la msingi vyumba vya maabara Shule ya Sekondari ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na kuzindua huduma ya umeme Kijiji cha Chipaka.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Mzee Ali Mkongea alisema Serikali imejitahidi kuwekeza katika miradi, hivyo wananchi wanatakiwa kuendelea kuitunza.

Mkongea alisema Serikali imeweza kutoa fedha katika ujenzi wa vituo vya afya na utoaji elimu bure ili kuweza kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kwa lengo la kuijenga nchi.

Alisema wananchi wanatakiwa kujitokeza katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu ili kuwapata viongozi bora watakaosaidiana na Serikali kuleta maendeleo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa