• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Mkoa awapongeza Wananchi wa Madibira - Mbarali

Imetumwa : February 9th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. AmosMakalla amewapongeza wananchi wa Kata ya Madibira wilani Mbarali kwa kazi kubwawalioifanya ya kuweza kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa 3, Ofisi ya Walimu1, bweni na vyoo katika shule ya Sekondari ya Madibira.

Mkuu wa Mkoa ameyasema hayowakati wa ukaguzi wa ujenzi wa madarasa Wilaya ya Mbarali ili kuhakikisha vyumbavya madarasa vinakamilika na wananafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Kidatocha kwanza wanaripoti shuleni kwa ajili ya kuendelea na masomo.

Mhe.Makalla amesema kwamba Wilayaya Mbarali ndio ilikuwa na Idadi kubwa ya wananfunzi ambao wanafunzi 4200walishindwa kujiunga na Elimu ya Sekondarii kutokana na uhaba wa madarasa naujenzi wa vyumba vya madarasa 39 ukikamilika wanafunzi wote wataripoti shule.

Akisoma Taarifa ya Ujenzi Mkuu waShule ya Sekondari ya Madibira Mwl. John Gwimile amesema kuwa ujenzi wabweni yawanafunzi unatarajiwa kukamilika tarehe mwezi Februari 15 na kwa sasa wanafunziwa Kidato cha sita wanatumia vyumba vya madarasa kama mabweni.

“Yatakapo kamilika mabweni hayawanafunzi wa Kidato cha Sita watahamia na kuacha wazi madarasa wanayotumia kamamabweni kwa ajili ya wananfunzi wa Kidato cha kwanza. Shule itakuwa imepunguzauhaba wa madarasa kwa ajili ya wanafunzi walioshindwa kujiunga.” Mwl Gwimile

Mwl Gwimile amesema kuwa bwenihilo linagharimu shilingi milioni 75 ambapo michango ya wananchi ni shilingimilioni 17 na fedha nyingine ni kutoka Serikalini Mbweni hilo litakuwa na uwezowa kuhudumia wanafunzi 96, 

DiwaniKata ya Madibila Mh.Erick Ngeliama alimshukuru Mh Mkuu wa Mkoa na uongozi waWilaya kwa kuja kutembeleaKata ya Madibila, na kusisitiza kuwa Maendeleohayana Mtu furani, itikadi,rangi, dini wala chama kwani tutakuwa tunakoseatukifuata utaratibu huo, nijambo la faraja kuona watoto wote wanakwenda shulebila kuangalia anaesimamiamaendeleo ni nani, cha msingi ni kuweke siasapembeni na kufanya kazi.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa