• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Mkoa Mbeya Atoa Siku 30 kwa Watendaji wa Kata

Imetumwa : April 25th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla ametoa siku 30 kwa Watendaji wa Kata kuona mabadiliko ya utendaji kazi wao kwa kusimamia na kuhamasisha wananchi kuhusu suala zima la usafi katika Halmashauri za Mbeya Jiji na Mbeya Vijijini.

Akiongea katika kikao kazi cha Watendaji na Viongozi wa Wilaya ya Mbeya katika ukumbi wa Mkapa hivi leo Mhe Makalla amesema kuwa hajaridhishwa na jinsi Watendaji hao wanavyosimamia suala la usafi hasa katika Jiji la Mbeya.

Amesema kuwa Watendaji Kata wengi wana tabia ya kusukumwa katika utendaji kazi wao na matokeo yake kufanya kazi kwa nguvu ya soda na kuacha kufuatilia kabisa suala linavyoendelea.

“Nataka kuona Jiji linakuwa safi ndani ya mwezi mmoja na hicho ndio kipimo chenu kuona kama mnatosha katika nafasi zenu na kwa hili sitakuwa na huruma na mtendaji atakayeshindwa kutimiza wajibu wake” Amesema

Mhe Makalla ameagiza kila mtendaji wa kata kuhakikisha kuwa zoezi la usafi analisimamia kwa kushirikisha kuanzia viongozi ngazi ya Mtaa kwa kuitisha vikako ndani ya siku saba kukubalia namna ya kuweka kata katika hali ya usafi.

Akiongea katika Kikao hicho Mtendaji Kata ya Ruanda Bw. Jumapili Mwasenga amesema kuwa changamoto zipo nyingi ambazo umesababisha taka kukaa kwa muda mrefu bila kupekekwa dampo katika sehemu nyingi

Bw. Mwasenga amesema kuwa ubovu wa magari ya kubebea taka, uhaba wa vitabu vya kukusanyia ada ya taka, ubovu wa barabara ya kuingia dampo ni changamoto ambazo zimesababisha Jiji la Mbeya kuwa katika hali ya uchafu

Aidha Bw. Mwasenga amekiri Watendaji pia kutohamasisha usafi katika maeneo yao na kutosimamia wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasio rasmi hasa kwenye Hifadhi za barabara na kuzalisha taka nyingi.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Dk Aman Kilemile amekiri kuwepo kwa tatizo la taka ndani ya Halmashauri yake na kusema kumetokana na tatizo la utendaji ndani ya Idara ya usafi na mazingira.

Dk Kilemile amesma udhaifu uliokuwepo katika idara hiyo kumesababisha kutokuwepo na mawasiliano mazuri ya kiutendaji kati ya Idara na Watendaji Kata na kupelekea tatizo la uchafu kudumu kwa muda mrefu

Amesema kuwa changamoto ya ubovu wa magari ya kubebea taka na ubovu wa barabara zimeshapatiwa ufumbuzi na kwa sasa magari yanandelea na zoezi la kubeba taka.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa