• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MRADI WA MAJI WAWEKEWA JIWE LA MSINGI NA KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE

Imetumwa : August 25th, 2024

Mwenge wa Uhuru 2024 kupitia kwa Kiongozi wake Ndg: Godfrey Mnzava na timu yake umeweka Jiwe la Msingi Mradi wa Maji Itagano-Mwansekwa unaogharamiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Mfuko wa Taifa wa Maji kwa gharama ya Sh. 5,153,937,498. Halmashauri ya Jiji la Mbeya.

Katika Taarifa iliyosomwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mbeya kwaniaba ya CPA Gilbert Kayange Amesema Utekelezaji wa mradi ulianza mwezi Machi 2023 na unatarajiwa kukamilika mwezi Disemba 2024.

Mradi huu utahudumia wananchi wapatao 42,000 waishio Kata za Mwasenkwa, Iganzo na Ilemi.

Taarifa hiyo imefafanua juu ya kazi zilizopangwa kufanyika na hatua za utekelezaji ambazo ni kama ifuatavyo:-

Ujenzi wa banio za maji mbili katika Mto Hanzya na Hasara. Utekelezaji umekamilika.

Ununuzi na ulazaji wa bomba kuu (Chuma na HDPE inchi 4) na viungio vyake kutoka kwenye vyanzo vya Mto Hanzya na Hasara hadi kwenye chujio la kutibu maji kwa umbali wa Kilomita 3.8. Utekelezaji umekamilika.

Ujenzi wa chujio la kutibu maji (Flocculator na Sedimentation Tank). Utekelezaji umekamilika.

Ununuzi wa bomba za kusambaza maji za Chuma na HDPE zenye kipenyo cha inchi 10, 4, 3, 2.5, 2, 1.5 na 1 zenye urefu wa Kilomita 53.2 pamoja na viungio vyake. Utekelezaji umekamilika.

Ununuzi wa dira za maji 12,000 pamoja na viungio vyake. Utekelezaji umekamilika.

Ujenzi wa tangi la kuhifadhi maji yaliyotibiwa lenye ujazo wa Lita Milioni 1.5. Utekelezaji umefikia asilimia 12.

Kwa ujumla wake utekelezaji wa mradi umefikia asilimia 82 na umeanza kutoa huduma ya maji na Kaya 348 zimeunganishwa.

Kazi zinazoendelea kwa sasa ni kusogeza huduma kwa wananchi kwa kuchimba na kulaza bomba za kusambaza maji kwa wananchi na ujenzi wa tangi la kuhifadhi maji.

Hadi sasa kiasi cha Sh. 2,522,707,181.95 kimepokelewa kutoka Mfuko wa Maji wa Taifa ambazo zimetumika kugharamia kazi za mradi.

Kiongozi wa Mwenge amempongeza Ubora wa Mradi huo na kuwaomba Wananchi kutunza vyanzo vya Maji.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa