• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Naibu Spika akabidhi Jengo la Upasuaji

Imetumwa : March 6th, 2018

Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson amekabidhi mradi wa jengo
la upasuaji katika kituo cha Afya Ruanda lililokarabatiwa
na Taasisi ya Tulia Trust kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Amos Makalla
lililogharimu Sh. milioni 40.


Dkt Tulia amekabidhi jengo hilo katika ziara yake mkoani hapa
sambasamba na kukagua ukarabati wa mradi huo na kuzungumza na
wananchi na wagonjwa waliofika kupata matibabu katika kituo hicho.

Amesema katika kuunga mkono jitihada za Serikali taasisi yake
imelenga kuboresha huduma muhimu hususan afya, hususan huduma ya
wakinamama wajawazito na watoto katika vituo vya afya na zahanati.

"Mkuu wa Mkoa nakupongeza kwa jitihada zako mpaka kufikia hatua za
mwisho za kusimamia mradi huu sasa ninaomba changamoto za mahitaji
madogo yaliyopo yafanyiwe kazi ili huduma za upasuaji zianze
kutolewa"amesema.

Mkuu wa Mkoa Amos Makalla, alisema kuwafuatia Serikali imetoa Sh 700
milioni kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya kisasa katia kituo cha afya
Ruanda pamoja na vifaa tiba.


"Naibu Spika ukarabati wa chumba cha upasuaji imekuwa chachu kwa
serikali na sasa imetoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya kisasa
katika kituo hiki kwa kweli unatupa moyo sana kama viongozi wa
Mkoa"amesema.

Aidha ameagiza halmashauri ya jiji kupitia mapato yake ya ndani kutoa
fedha kwa ajili ya kumalizia baadhi ya mahitaji katika chumba cha
upasuaji ili kianze kutoa huduma kwa wananchi.


"Natoa wiki mbili ukarabati huu uwe umekamilika na huduma zianze
kutolewa mapema iwezekanavyo"amesema.




Mganga mfawidhi katika kituo hicho, Elioth Sanga alisema wametenga
Sh 55 milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya upasuaji.

Kwa upande wa Mdau wa Mendeleo Mkoani hapa, Ndele Mwaselela alisema
anaumba mkono jitihada za serikali katika kuhakikisha wanaboresha afya
za msingi kwa kuchangia miradi ya maendeleo hususan elimu na afya.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa