• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Shule ya Sekondari ya Pankumbi yapata Msaada

Imetumwa : March 7th, 2018

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano  Dkt Tulia Ackson ametoa msaada wa saruji mifuko 100 na mabati 100 katika Shule ya Sekondari Pankumbi Halmashauri ya Jiji la Mbeya vyenye thamani ya sh. Milioni 3.9.

Msaada huo ulikabidhiwa jana nkwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla katika halfa fupi iliyofanyika shule ya Sekondari Pankumbi na kuhudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Mkoa wa Mbeya.

Dkt. Tulia amesema msaada huo umetolewa kupitia Wadau mbalimbali wa maendeleo kushirikiana na Taasisi ya Tulia Trust na kwamba lengo ni kusaidiana na Serikali katika kuboresha huduma muhimu hususani Elimu na afya.

"Tulia Trust iko bega kwa bega na Serikali katika kuhakikisha inaboresha huduma muhimu katika jamii, kwa kushirikiana na mdau mkubwa wa maendeleo Mkoa Ndele Mwaselela."amesema.

Aidha, amepongeza jitihada za Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwa kujiwekea utaratibu wa kusimamia na kutekeleza kwa vitendo shughuli za miradi ya maendeleo na kwamba kusema huo ndo uzalendo unaohitajika katika Taifa la Tanzania.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla ameuagiza Uongozi wa Shule hiyo pamoja na Diwani wa Kata kuhakikisha misaada hiyo iliyotolewa inatumika kwa wakati na si kuigeuza miradi ya watu wachache.

“ Ninajua kuna baadhi ya watu misaada inapotolewa kwa ajili ya maendeleo wanaweka na kuifungia majumbani kwao. Sitaki kusikia hilo jambo linatokea katika shule hii nitarudi tena kuja kukagua kama ujenzi huo umefikia katika hatua gani “amesema

Mkuu wa Shule hiyo, Mwalimu Sister Seken ,alisema wanakabiliwa na changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa, uhaba wa vyumba vya madarasa na thamani za ofisi za walimu jambo linalowalizimu kutumia madawati ya
wanafunzi.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa