• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Shule Yapewa Jina la Chifu wa Kisafwa

Imetumwa : April 6th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Albert Chalamila ametangaza kuipa jina la Chifu Rocket Mwanshinga(Chief Rocket Mwanshinga Pre& Primary English Medium School) Shule ya Awali na Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza iliyopo Kata ya Nsalaga Halmashauri ya Jiji la Mbeya

Mhe Chalamila ameyasema hayo leo Nsalaga alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa shule hiyo na kusema kuwa lengo la kutoa jina la Shule kwa Chifu Mwanshinga ni kutambua mchango wake katika ujenzi wa shule hiyo.

Chalamila amesema ujenzi wa shule hii ya Serikali ya Mchepuko wa kiingereza ni katika kuunga vipaumbele vya serikali katika elimu kwa kupeleka huduma karibu na wananchi ili waweze kuwapeleka watoto wao shule zilizo karbu na maeneo wananyoishi.

“Mhe Rais Mama Samia Suluhu ameingia madarakani wala kipaumbele chake sio kuhamasisha wizi katika Taifa, kipaumbele chake ni kuhakikisha tunapeleka huduma kwa watanzania, kuhakikisha tunafanya miradi inayoendana na fedha inayotolewa na kuhakikisha wananchi wanaona kodi zao zinavyotumika” Mhe Chalamila

Akisoma taarifa ya ujenzi wa shule hiyo Mwl Janet wa shule hii umetokana na uhitaji mkubwa wa shule ya mchepuo wa kiingereza kwa wakazi wa Uyole na maeneo ya jirani, na shule imekwisha sajiliwa kwa nambaEM.18629

“ Shule hii tunatarajia kusajili wanafunzi 270, Awamu ya kwanza ujenzi huu ni wa vyumba sita vya madarasa, jingo la utawala na matundu kumi na sita ya vyoo vya wanafunzi ambapo matundu nane ni kwa ajili ya wasichana na matundu nane ni kwa ajili ya wavulana” Mwl Janet

Naye Chifu Mwanshinga ameishukuru Serikali ya Mkoa na Halmashauri ya Jiji la Mbeya kwa kuona umuhimu wa kuipa shule hiyo jina lake na kuahidikutoa ushirikiano mkubwa katika kuhakikisha shule hiyo inakamilika kwa wakati ili watoto waanze kusoma

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa