• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TANROADS yatakiwa Kuwalipa Wakandarasi kwa wakati

Imetumwa : September 3rd, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Albert Chalamila ametaka Meneja wa Wakala ya Barabara Mkoa kuhakikisha inafuatilia kwa karibu malipo ya kiasi cha shillingi Milioni 571.99 ya mkandarasi anayejenga barabara ya Igawa- Rujewa –Ubaruku ili asifunge barabara hiyo.

Mhe. Chalamila ameyasema hayo leo alipokuwa akikagua barabara hiyo yenye urefu wa km 6.6 na kusema TANROADS wahakikishe wanansimamia malipo ya mkandarasi huyo ili aweze kukamilisha barabara hiyo kwa wakati.

Chalamila amesema kuwa utovu wa nidhamu wa kujenga barabara chini ya kiwango unaweza kuanza kama mkandarasi ataendelea kucheleweshewa fedha zake  na kuisababishia serikali hasara.

Mhe Chalamila amesema ofisi yake ipo tayari kushirikiana na wakala wa barabara kuiomba Wizara ya ujenzi kuwahisha fedha hizo kama wataona kuna uhitaji wa ofisi ya mkoa kuingilia kati suala hilo.

Akisoma taarifa ya Mradi huo Mhandisi Fredy Kipamila amesema kuwa barabara ya Igawa-Rujwa-Ubaruku inajengwa kwa kiwango cha lami ili kurahisisha usafiri na kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi wilayani Mbarali.

Mhandisi Kipamila amesema mradi huo ulitengewa jumla ya sh. Bilioni 6.239 kazi inayofanywa na kampuni ya Summer Communications kwa kushirikiana na kampuni ya Mtwivila Traders zote za Tanzania  kwa mkataba wa miezi 12.

Mhandisi amesema hadi agosti 2018, ni asilimi 63 imekamilika ambapo mkandarasi amemaliza kazi ya ujenzi wa tuta la barabara na mhimili wa kwanza wa barabara kwa kuchanganya kifusi na sementi (sub-base) yenye unene wa sentimita 15.

Naye Mhandisi wa Mradi Bw. Herifrey  Mgeni ameomba serikali kuwahisha maombi yao ya fedha ili waweze kumaliza barabara hiyo kwa wakati kama ilivyopangwa awali.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa