• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TRA Watakiwa Kuweka Mfumo wa Utoaji Elimu ya Mlipa Kodi

Imetumwa : February 16th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, ameshauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuangalia uwezekano wa uwepo kwa mfumo wa mtaalamu wa utoaji elimu ya mlipa kodi kuanzia elimu ya sekondari na vyuo vikuu nchini ili kuwezesha taifa kuwa na wazalendo wataojua umuhimu wa kulipa kodi.

Chalamila alisema jana wakati akizunguzma na uongozi wa TRA, Makao makuu na mkoa wa Mbeya kufautia kuanza kwa zoezi la utoaji Elimu ya mlipakodi, mlango kwa mlango, duka kwa duka iliyoanza katika baadhi ya wilaya Mkoani hapa.

Alisema uwepo wa mtaala huo utasaidia kuzalisha vijana wazalendo ambao watakuwa mstari wa mbele kulipa mapato serikali kulingana na shughuli mbalimbali za kiuchumi na hivyo kuchochea ukuaji wa miradi ya maendeleo hususan barabarani na taifa kupiga hatua kutokana na kodi za wananchi.

"Mkoa wa Mbeya wafanyabiashara wana kasumba ya kukwepa kukipa kodi pamoja na matumizi ya Efds sasa ili kufanikiwa washirikisheni madiwani wakati wa kutoa Elimu ili wawasikishe kwenye vikao vya mabaraza ya madiwani jambo ambalo ltawasaidia kufikia malengo kwa Elimu kuwafikia wananchi na kulipa kodi kwa hiari "alisema.

Alisema kwa kuwa wanaanzia kutoa elimu wilayani Chunya pia kuna changamoto ya utoshaji wa Madini hususani maeneo ya machombo ambayo hayajasajiliwa jambo ambalo pia linachangia upotevu wa mapato hivyo ni jukumu lenu Tra kuliangalia wakati wa utoaji Elimu Ya mlipa kodi.

Afisa kodi Mkuu, Elimu kwa mlipa kodi Makao makuu, James Ntalika alisema kuwa wazo la kuanza kwa mtaala ataliwasilisha makao makuu kwani ni jambo jema ambalo litachochea ulipaji kodi kwa hiari.

Alisema uwa zoezi la utoaji elimu linaendelea nchi nzima kwa Mkoa wa Mbeya walianzia wilayani chunya lengo ni kuwapatia Elimu wananchi hususan wafanyabishara kujua umuhimu wa kulipa kodi na matumizi ya Efds.

Meneja wa Tra mkoa wa Mbeya, Eunice Liheluka aliwataka wafanyabishara kutoa ushirikiano kwa maofisa wanaowawafikia na si kufunga maduka na kukimbia kwani serikali ina malengo mazuri katika kuhakikisa wanalipa kodi kwa wakati na si kukwepa.


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa