• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wapongezwa Kwa Usimamizi wa Miradi

Imetumwa : August 14th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera Leo tarehe 14/08/2021 ametembelea na kukagua Miradi itakayotembelewa na Mwenge Maalumu wa Uhuru mwaka 2021 Wilaya ya Mbarali siku ya tarehe 11/09/2021 katika eneo la Igawa kata ya Lugelele ukitokea Mkoa wa Njombe.

Katika ziara hiyo Mhe. Homera amefurahishwa na miradi iliyopendekezwa na uongozi wa Wilaya ya Mbarali kwa ajili ya kutembelewa na Mbio za Mwenge Maalumu wa Uhuru kwani miradi hiyo imefuata vigezo vya Mbio za Mwenge.

“Niwapongeze kwa kuzingatia vigezo vya Mwenge, Miradi yote ya Mbarali ipo vizuri, kikubwa ni kujipanga vizuri kuupokea hasa kwenye kuhamasisha wananchi, vikundi vya burudani na ngoma za asili.”

“Nawasihi wananchi mjitokeze kwa wingi kuupokea Mwenge wa Uhuru, kila mwananchi auchukulie Mwenge huu kama wake, wasiwaachie viongozi wa Serikali pekee, mwenge ni wetu sote.” Alisema Mhe. Homera

Miradi iliyotembelewa na Mhe. Homera ni pamoja na eneo la Mapokezi la Mwenge Maalumu wa Uhuru eneo la Igawa, Kituo cha Mafuta cha Nyamuhanga eneo la Igawa, kiwanda cha Kuchakata Mpunga cha Highland Estate eneo la Igawa, Mradi wa Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na ofisi shule ya Msingi Igomero, Mradi wa uhifadhi wa Mazingira katika shule ya Sekondari ya Ihanga Mbarali.

Mingine ni mradi wa TEHAMA katika kituo cha afya Mapogoro, mradi wa kikundi cha vijana Bodaboda Mbuyuni, mradi wa huduma ya elimu kuhusu VVU/UKIMWI na Maralia hospitali ya Chimala Misheni, mradi wa utoaji wa huduma ya Lishe kwa jamii ofisi ya kijiji cha Chimala pamoja na eneo la Mkesha wa Mwenge wa Uhuru shule ya msingi Majenje

Kauli mbiu ya Mwenge Maalumu wa Uhuru mwaka 2021 ni “TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu, Itumike kwa Usahihi na Uwajibikaji”

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa