• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Waratibu wa Elimu Watakiwa Kufanya Kazi kwa Vitendo

Imetumwa : June 12th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla amewaagiza waratibu elimu kata mkoani Mbeya kuhakikisha wanafanya kazi yao kwa vitendo na ikiwezekana waingie madarasani kukagua wakati walimu wanaendele kufundisha.

Mhe  Makalla ametoa agizo hilo kwenye maadhimisho ya kilele cha Wiki la Elimu yaliyofanyika kimkoa jijini hapa na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta hiyo wakiwemo waratibu wa Elimu Kata.

Makalla amesema waratibu wa sasa wameondoka katika misingi rasmi ya kazi yao kwakuwa wanatumia muda mwingi kufanya shughuli zao binafsi badala ya ile waliyopewa na serikali.

Amesema wapo baadhi yao ambao wanadiriki kufanya biashara wakati wa kazi ikiwemo usafirishaji wa abiria kupitia pikipiki maarufu kama bodaboda kwa kutumia kisingizio cha kuwa katika kijiji kingine akiratibu pale wageni wanapomuulizia bada ya kumkoa ofisini.

Makalla pia amesisitiza wakuu wa wilaya na wakurugezni watendaji wa Halmashauri kuweka mkazo katika kuwashirikisha wadau mbalimbali pasipo kujali ukubwa au udogo wa mchango wao kwenye sekta ya elimu hata kama mtu anachangia mfuko mmoja wa saruji.

Amesema ushirikishwaji wa wadau ni jambo muhimu kwakuwa utawezesha kila mmoja kuona yuko sehemu ya mafanikio pale yanapopatikana na pia atajiona ni sehemu ya kufanya vibaya pale yanapopatikana matokeo yasiyoridhisha.

Awali akitoa taarifa ya Elimu ya mkoa, Kaimu Afisa Elimu wa Mkoa wa Mbeya,Gerald Kifyasi amesema miongoni mwa changamoto zinazoikabili sekta hiyo ni pamoja na Ufuatiliaji hafifu wa ufundishaji,wanafunzi kutokula chakula cha mchana mashuleni na uhaba wa miundombinu muhimu mashuleni ikiwemo vyoo na vyumba vya madarasa

Katika maadhimisho hayo pia zawadi mbalimbali za fedha taslimu,ngao na vyeti vilitolewa kwa Halmashauri na Halmashauri zilizofanya vizuri katika sekta ya Elimu sambamba na walimu na wanafunzi waliofanya vizuri.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa