• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATAALAMU NA MAAFISA MANUNUZI KUWENI NA NIDHAMU YA MATUMIZI YA FEDHA-RC HOMERA

Imetumwa : October 24th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Comrade Juma Homera amewataka Wataalamu na Maafisa Manunuzi Kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Mbeya kuwa na Nidhamu ya Matumizi ya Fedha za Umma na kujiepusha na Udanganyifu wa aina yeyote hasa wawapo katika Utekelezaji wa majukumu Yao ya Kazi.

RC Homera ameyasema hayo leo wakati akifungua Kikao Cha Chanjo ya Polio kwa awamu ya pili ambapo mbali na Agizo hilo ameipongeza Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa kwa Uratibu Mzuri wa Shughuli za Chanjo hasa awamu ya kwanza hata katika shughuli zingine za Afya.

"Nichukie Nafasi hii kumpongeza RMO na Timu yake maana Baada ya Uzinduzi wa awamu ya kwanza kule Iyela malengo ilikuwa kuchanja Laki 5- Laki 6 lakini tulivhanja Watoto zaidi ya Laki  Saba sawa na asilimia 124.82 kwahyo tulivuka malengo Kwakweli tujipigie Makofi"

Aidha RC Homera ameiagiza Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa kusimamia Kikamilifu Fedha zinazoletwa na Serikali na kudai anataka kuona Matokeo zaidi tena Matokeo Chanya hasa katika Fedha zilizotengwa kwaajiri ya Usafi na Mazingira(OSHA).

Viongozi wa Dini na wa Kimila wakapata Nafasi ya Kutoa maoni Yao katika kikao hicho ambapo Yako Mengi wameishauri Serikali ya Mkoa wa Mbeya kuyaboresha ili kuendelea kuisaidia Jamii inayowazunguka.

Matangazo

  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • WANAWAKE WA KIISLAM MBEYA WAOMBA DUA MAALUMU KWA RAIS SAMIA

    October 29, 2023
  • Rc HOMERA AACHA ALAMA ISIYOFUTIKA KKKT DAYOSISI YA KONDE

    October 29, 2023
  • WATAALAMU NA MAAFISA MANUNUZI KUWENI NA NIDHAMU YA MATUMIZI YA FEDHA-RC HOMERA

    October 24, 2023
  • Mh. HOMERA AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA VYENYE DAWA MASHULENI

    October 19, 2023
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa