Imetumwa : August 13th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila amewataka watumishi wa halmashauri ya Kyela kukamilisha kujibu hoja za ukaguzi kabla hajawachukulia hatua za kinidhamu.
Mh. Chalamila ameyasema hayo leo ...
Imetumwa : August 9th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila amezitaka taasisi za dini kuchagua viongozi waadilifu na walio werevu ili waweze kusimamia miradi ya maendeleo ya taasisi zao kikamilifu.
Mhe. Chalamila ...
Imetumwa : August 6th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila amewataka Watendaji wa halmashauri kutafakari kwa usahihi mipango na njia za kukabiliana na tatizo la kushuka kwa mapatio katika maeneo yao.
Akiongea leo...