Imetumwa : May 16th, 2018
Mkoa wa Mbeya umejenga jumla ya vyumba vya madarasa 488, nyumba za walimu 16 na matundu ya choo 827 kati ya Mei 2017 na Mei 2018 kwa lengo la kuboresha miundombinu na mazingira ya kutolea elimu kwa ku...
Imetumwa : May 12th, 2018
Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Mbeya imependekeza kwa pamoja kubadilishwa kwa jina la Uwanja wa Ndege wa Songwe kuitwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mbeya (MIA)
Mapendekezo hayo yalitolewa na wajum...
Imetumwa : May 11th, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla amewataka Wakala Barabara TARURA na TANROADS mkoani Mbeya kusimamia miradi ya baraba ikamilike kwa muda unaopangwa na iendane na thamani ya fedha inayotolewa.
...