• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

CHUO CHA MUST MBEYA NA SUZA ZANZIBAR KUIMARISHA MAHUSIANO

Imetumwa : November 18th, 2024

Waziri Wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mh: Lela Muhamed Mussa na M/kit wa Kamati ya Bajeti Baraza la uwakilishi Zanzibar wamefika Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Mbeya na kupokelewa na Mkuu wa wilaya Mh:Beno Malisa kwaniaba ya RC Homera Lengo kuu ikiwa ni kusalimia na kueleza Dhima ya Ujio wao katika Mkoa huo.

Mh: Lela ameambatana na Wajumbe kutoka Chuo Cha State University of Zanzibar(SUZA) huku dhamila kuu ikiwa ni kutembelea Chuo cha sayansi na teknolojia Mbeya(MUST) na kujifunza juu ya Uendeshwaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi(HIT).

Mradi huo unaotekelezwa na Serikali kwa Ufadhili wa Bank kuu ya Dunia(WB) umelenga Kusomesha Wataalamu Kutoka vyuo mbali mbali nchini,

Kujenga majengo na

Kufanya maboresho ya Vyuo katika nyanja tofauti tofauti na Chuo cha MUST tayari washautekeleza Mradi huo kwa zaidi ya asilimia 75.

Akizungumza mara baada ya kuupokea ugeni huo Mh: DC Malisa amesema Mbeya Uongozi wa mkoa kupitia Chuo Cha MUST utaendelea kudumisha mahusiano bora na Chuo Cha SUZA hasa kubadirishana uzoefu katika Utendaji na uendeshaji ili kuinua Kiwango Cha taaluma Pande zote mbili(Tanzania bara na Zanzibar).

Hata hivyo ametoa wito kwa Wawekezaji Zanzibar kuja kuwekeza Mbeya kwakuwa ziko fursa Nyingi za kiuchumi(Biashara, Kilimo, Mifugo n.k) zinazoweza kuwafaa, zaidi kwenye Kilimo akagusia Ubora na upekee wa Mchele wa Mbeya.

"Mfano mchele wa Mbeya kama unavyofahamika ni mtamu sana, Nina Uhakika Chuo Cha MUST kishawapatia wakwenda nao hivyo tusaidieni kuwaeleza wawekezaji wa Zanzibar waje Mbeya kunufaika na haya Mambo mazuri mnayotasikia na mliyoyaona" Amesema Malisa

Mh: Lela ameshukuru kwa Mapokezi Mazuri aliyoyapata yeye na timu yake Kutoka kwa Serikali ya Mkoa wa Mbeya na Kwa uongozi wa Chuo cha MUST na kuahidi kuyachukua yale yote mazuri waliyoyapata chuoni na kuyafanyia kazi kadharika hakusita kuwaalika pia wenyeji wake kuitembelea Zanzibar kwaajiri ya kujifunza pia Mambo mbalimbali.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa