• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Citizen Urged to Invest in Industrial - Rungwe

Imetumwa : April 18th, 2017

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bwana  Amour Hamad Amour amewataka Wananchi wa Rungwe kutumia fursa ya malighafi zinazopatikana Wilayani kuwekeza katika viwanda vidogo vidogo vya matunda kwa ajili ya kusindika na kuongeza thamani ya mazao yao ambapo vitaongeza pato kwa wananchi na Serikali.

Akiweka jiwe la msingi katika Kiwanda cha Matunda Ilenge Kata ya Kyimo Bw. Amor amesema kuwa kuwa Matunda yanayopatikana Rungwe kama hakuna viwanda wananchi hawataweza kunufaika na malighafi hiyo. Watanzania wana uwezo wa kuanzisha viwanda vya kuweza kusindika maparachichi, asali  na kuondokana na dhana ya kulima malighafi hizo kwa wingi na kuziuza kwa bei ndogo na bidhaa zake kuuzwa ghali.

Aidha, kuanzisha viwanda vya alizeti kuuza yenyewe huwezi kupata faida, kuuza mafuta na chakula cha mifugo bei ya juu. kuangalia kuanzisha viwanda katika maeneo yetu. Wananwake wajitokeze

Afis Mtendaji wa Kata ya Kyimo Bw. Undule Mwasyonge amesema kuwa mradi wa Kiwanda cha Matunda utakapokamilika unatarajia kugharimu jumla ya sh. 1,058,665,900 ambapo kiasi cha Sh. 1,008,565,900 sawa na asilimia 95 za gharama za mradi ni fedha za ufadhili wa mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Sh. 5,000,000 ni fedha za Halmashauri.

Uledi amesema kwamba kukamilika kwa mradi huu kutasaidia kwa kiasi kikubwa wakulima wa matunda na mbogamboga kuhifadhi matunda yao kwa muda hata kuysafirisha nje ya nchiyakiwa yameongezewa thamani.

Matangazo

  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Katibu Mkuu Dkt. Jingu: Jamii ipewe elimu kuhusu Anwani za Makazi

    May 18, 2022
  • DKT. JINGU APONGEZA ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI MKOANI MBEYA

    May 17, 2022
  • Waziri Nape aupongeza Mkoa wa Mbeya katika zoezi la Anwani za Makazi

    May 13, 2022
  • Rc Homera atatua mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa miaka miwili

    May 13, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

RC Atoa Onyo Kuelekea Uchaguzi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.