• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

GSM Yakabidhi Mifuko 140 kwa RC Mbeya

Imetumwa : November 30th, 2018

Kampuni ya GSM kupitia kampuni tanzu ya GS Agro  imemkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila mifuko 140 ya mbolea kwa ajili ya vikundi  7 vya wanawake kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya.

Akimpokea  mbolea hizo leo ofisini kwake  Mhe. Chalamila  ameishukuru kampuni hiyo na kuwaomba kuendelea kusaidia kwa kadri itakavyoendelea kuguswa katika kusogeza mbele maendeleo ya kiuchumi kwa upana  wake.

Mhe. Chalamila amesema vikundi saba vitakavyonufaika ni  Palishimo, Uhalamsye, Mwawesya, Zinduka, Lwangaje, Wile  na Tashila na ambavyo vitapokea mifuko 10 kwa kila kikundi

Chalamila amesema mkoa umeshaanza mazungumzo na nchi jirani za Congo na Zambia kwa ajili kutafuta masoko ya mazao na hivyo kuwataka wakulima hao kutumia mbolea waliopewa msaada.

Mhe. Chalamila amesema amewaomba GSM waje kuwekeza katika ujenzi  wa viwanda vya magodoro na misumari vitakavyoweza kuongeza ajira  na mapato kwa Mkoa wa Mbeya.

Bibi Marieta Ben Mwakilishi wa kina mama ameishukuru Mkuu wa Mkoa  kwa kuweza  kiwaombea mpaka kampuni ikakubali kuwasidia kupata mbolea hiyo na kusema itawapunguzi  tatizo la kuwa magolikipa katika ndoa zao kwa sababu sasa wana uwezo wa kujitegemea.

Akikabidhi mbolea hizo Afisa Uhusiano na Mawasiliano wa kampuni ya GSM Bw.  Martina Nkuru  ametoa pongezi kwa Mkuu wa Mkoa  na kusema kuwa hizo ni jitihada zake alizozifanya kwa ajili ya wananchi wake na kampuni mpaka  ikaona umuhimu  wa kusaidia katika harakati zake za kuinua uchumi wa Mbeya.

Bw. Nkuru amesema kuwa kampuni  imeanza kwa kuwasidia wakina mama wa vikundi vinavyojishughulisha na kilimo kama mwanzo wa kuanza kujenga mahusiano mazuri na Serikali  na  kuomba makampuni mengine kuendelea kuiga mfano wao.

Nkuru amesema kuwa kampuni itaendelea kutoa misaada mingine hasa katika masuala ya uwekezaji wa viwanda.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa