• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HAKUNA MUDA UTAKAOONGEZWA NJE YA WA MKATABA

Imetumwa : August 29th, 2024

Mkandarasi wa Kampuni ya M/S CHAGATU EARTH WORKS CO LTD, ameaswa kumaliza kwa Wakati Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Masundo katika Barabara ya Kambasegela-Nsundo-Ntaba yenye urefu wa Km. 6.31 iliyoko Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya.

Rai hiyo imetolewa na Mwenge wa Uhuru 2024 kupitia kwa Kiongozi wake Ndg: Godfrey Eliakim Mnzava wakati Mwenge wa Uhuru ulipokagua na kuweka Jiwe la Msingi Mradi huo na kumuasa Mkandarasi kuwa hakuna muda utakaoongezwa Nje na Makubaliano ya kwenye Mkataba.

Ujenzi wa Daraja Ulianza mara baada ya kukosekana kwa Mawasiliano ya Muda mrefu ya Barabara ya Kambasegela-Masundo na Ntaba na Ulianza Kutekelezwa Tarehe 19/05/2023 na ulitarajiwa Kukamilika Tarehe 18/05/2024 muda wa Miezi Nane(8).

Mradi huu unaotekelezwa na Serikali ya Tanzania kupitia Fedha za Tozo ya Mafuta kwa Gharama ya Shilingi 458,358,707.50 ulitengewa Bajeti ya kiasi Cha Shilingi 500,000,000 na tayari Maombi ya Malipo ya awali kwa Mkandarasi yameshatumwa ambayo ni kiasi Cha Shilingi 351,228,901.25.

Mradi huu utakapokamilika Utahudumia wananchi wapatao 14,166 kwa Kata za Kambasegela na Ntaba na itawarahisishia Wananchi kusafiri na kusafirisha Mazao Yao Kutoka Mashambani kupeleka sokoni na Maeneo mengine ya Kibiashara.

Kauli mbiu ya Mwenge Wa Uhuru 2024 ni Tunza Mazingira Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa endelevu.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa