• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Waandishi watakiwa kuwa Daraja

Imetumwa : December 9th, 2017

Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt Yahya  Msuya amewataka waandishi wa habari  kuwa daraja  la kufikisha  wananchi elimu juu ya mapambano dhidi ya Kipindupindu katika Halmashauri za Mkoa wa Mbeya.

Akiongea katika semina ya kudhibiti kipindupindu ya waandishi wa habari  wa radio   Dkt. Msuya amesema kuwa Mkoa umeendelea  kukabiliana na Kipindupindu katika Halmashauri za Mbarali na Chunya.

Dkt.  Msuya amesema kuwa katika kufikia mafanikio yaliyopatikana katika kudhibiti ugonjwa huu Mkoa umetumia mbinu mbalimbali ikiwa pamoja na kuimarisha eneo la tiba pamoja na kinga.

" Eneo la tiba limehusisha kuandaa maeneo ya kupokelea wagonjwa na kuwa na watumishi wa kutosha  katika maeneo hayo, kutoa huduma stakihi, kuwa na dawa za kutosha." Dkt. Msuya

Dkt. Msuya amesema kuwa Mkoa umepanga kuimarisha Mkakati Kipindupindu kwa kushirikisha vyombo vya Habari na Viongozi wa Serikali na Siasa ili kuendelea kutoa elimu kwa wananchi ya jinsi ya kupambana na Kipindupindu.

Akichangia  katika semina hiyo Mwandishi Yosia Sinkala ameshauri  Mkoa kuandaa mikutano  ya hadhara kuanzia ngazi ya vijiji Mitaa na Kata kwa ajili ya  kutoa elimu jinsi ya kupambana na  ugonjwa wa Kipindupindu.

Bw. Sinkala amesema kuwa viongozi wa Vijiji na Kata wana ushawishi kwa wananchi wao hivyo ni muhimu kuwashirikisha kutoa elimu hiyo kwa wananchi ya mapambano dhidi  ya Kipindupindu na pia kutarahisisha utoaji wa taarifa ya wagonjwa.

Naye Bw. Ezekiel  Kamanga wa Ebony Fm ameshauri kuwa waandishi waandae vipindi mbalimbali katika  redio kuhusu jinsi ya kupambana  na Kipindupindu na kuandaa makala mbalimbali za redio kuhusu uginjwa huo.

Bw. Kamanga amesema kuwa  waandishi watatembelea  maeneo mbalimbali yaliyoathirika na ugonjwa wa kipindupindu na kuandaa makala ambazo watazirusha katika  redio na kuwawezesha wananchi kuanza kujilinda na ugonjwa huo.

Aidha, Samuel Mhando wa Dream Fm kashauri kuandaa dawati katika ngazi  ya Kata na Vijiji yatakayohusisha wananchi  na Wataalamu wa Afya  ambao watakuwa wanasimamia  utoaji  wa elimu kuhusu Kipindupindu katika maeneo Yao.



Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa