• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kampuni ya Marmo yapongezwa kwa Kuongeza Thamani ya Madini

Imetumwa : February 20th, 2018

NAIBU Waziri wa Madini,Dotto Biteko ameipongeza kampuni ya Marmo Granito ya mkoani Mbeya akisema inatekeleza nia ya inayohitajika na Serikali ya awamu ya tano ya kuongeza thamani kwa madini kabla ya kuyapeleka nje ya nchi.

Biteko alimwaga sifa hizo jana alipotembelea kiwanda cha Kampuni hiyo kinachojihusisha na uongezaji samani wa mawe aina ya Mabo kwa kutengeneza samani mbalimbali na kisha kuziunza ndani na nje ya nchi.

Alisema Serikali imedhamiria kuona madini yote yanaongezewa thamani kabla ya kuuzwa nje hatua inayolenga kuleta faida zaidi kwa taifa na wawekezaji nchini.

Aliwataka wawekezaji wengine katika sekta ya madini kuiga mfano huo na kuanza kuyaongezea thamani madini yao ili waweze kunufaika nayo na pia kuipa Serikali faida tofauti na kuyauza kama malighafi.

“Kama wawekezaji wote walio na leseni za madini nchini wangefanya hivi nina imani tungepiga hatua kubwa sana.Na lazima tufanye hivi iwapo kweli tumedhamiria kuelekea katika uchumi wa kati unaotegemea viwanda.”

“Tukibakia kusafirisha malighafi hakuna tutakachokipata zaidi ya kuwanyima watanzania wenzetu ajira na kuwapelekea wengine nchini mwao.Mwisho wa siku tutakuja kujikuta tumemakiwa na mashimo matupu na hatuna tena madini.Itakuwa ni aibu kwa kizazi cha wakati huo na watatuuliza tulifanya nini”alisema Biteko.

Naibu Waziri huyo alisema ipo haja ya kuzidi kuwapa moyo na fursa zaidi wawekezaji wanaoonesha nia ya dhati ya kutoa ajira kwa watanzania kwa manufaa ya sasa nay a baadaye kuliko wale wanaolenga kuja kuchukua rasilimani nchini na kuzipeleka kwao.

Alisema ni bora kuwa na wawekezaji wachache wenye nia inayoendana na taifa kuliko kuwakumbatia wengi wanaotaka siku moja taifa liaibike kwa kuondokewa na rasilimali zake.



Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa