• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Azindua Mradi wa Maji Busokelo

Imetumwa : May 17th, 2018

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2018 Ndugu Charles Kabeho  ameipongeza Serikali kwa kutoa fedha kwa ajili ya kuweza kuwahudumia wananchi8 hasa kwenye sekta ya maji ikiwa ni sera ya wizara ya kuwa na maji ndani ya mita nne.

Bw. Kabeho ametoa pongezi hizo wakati akizindua mradi huo wa maji na kuwapongeza wananchi pia kwa kuchangia ujenzi wa mradi ambao utawahudumia wananchi 1,436 wa kijiji hicho ili kondokana na tatizo la maji lililiokuwepo.

Bw Kabeho amesema kuwa Serikali ya Awamu ya tano imedhamiria kumtua mama ndoo kichwani kwa kusogeza miradi ya maji karibu na vijiji na kuondoa kabisa tatizo la kufuata maji umbali mrefu.

Aidha, Bw. Kabeho ameitaka halmashauri hiyo kusimamia miradi ya maji kwa ukaribu ili kuwezesha ujenzi wa miradi hiyo kuendana na thamani ya fedha za wananchi na Serikali zinzotolewa.

Akisoma taarifa ya mradi Mwenyekiti wa Kijiji cha Ilamba  amesema kuwa mradi wa maji Ilamba ulipangwa kutekelezwa kwa gharama ya shilingi 178,000,000 kwa ufadhili wa Serikali kuu na mchango wa nguvu za wananchi kiasi cha shilingi n1,900,000.

Mhe Mwenyekiti amesema kuwa hadi mradi unakamilika umegharimu jumla ya shilingi 134,072,685.84 ikiwemo mchango wa nguvu za wananchi shilingi 1,900,000 kwa ujenzi wa chanzo cha maji, tenki la kuhifadhia maji, vituo 13 vya kuchotea maji na kuchimba mitaro.ugo kuwa katika hatari ya kuliwa na mamba.



Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa