• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KODI HAITAWAGOMBANISHA WALIPAJI NA SERIKALI.

Imetumwa : October 8th, 2024

Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Bwn, Yusuph Juma Mwenda Leo October 08,2024 amekutana na Kufanya Mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera Ofsini kwake Namna ya Ukusanyaji Mapato Kwa Mkoa huo pasipo bugudha.

Kamishina amesema wao wanaendelea  kufanya maboresho katika ukusanyaji Kodi kwa Wafanyabiashara "Na Sitarajii kuona Zoezi hili linakuwa chanzo au Kichocheo Cha ugomvi na utata Kati ya Mlipaji na Mkusanyaji bali tutajikita zaidi katika Utoaji Elimu kwa Walipaji kabla ya kuwatoza" Amesema Mwenda mara baada ya Kusaini Kitabu Cha Wageni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa..

Aidha amesema Ujio wake mbali na kujitambulisha Ofisi ya Mkuu wa Mkoa lakini pia umeambatana na Ziara ya kutembelea na Kuzungumza na Wafanyabiashara Mbeya na Madereva Walioko Mpakani Kasumulu.

Kwa Upande wake Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera amesema Mkoa wa Mbeya uko salama Mahusiano kati ya Wafanyabiashara na Serikali Yako Vizuri kafharika Mbeya na Nchi Jirani hakuna utata wowote.

Homera amesisitiza kuhusu Bandari kavu ya Mbeya Malawi Cargo Kuanza kufanya Kazi ili kuifanya Mbeya kuimarika zaidi kiuchumi na Kongeza Mapato kupitia Uagizaji wa Mizigo Kutoka kwa Wafanyabiashara kupitia Bandari hiyo na ikiwezekana Siku za Mbeleni Ijengwe Reli ya kuunganisha Nchi hizi mbili.

Ikumbukwe Wiki kadhaa Nyuma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt: Samia Suluhu Hassan kupitia Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Cde: Juma Z. Homera alitangaza msamaha wa kutolipa Faini kwa MADEREVA MALORI waliokuwa wakisafirisha Vyumba chakavu kinyume na Utaratibu vikitokea Malawi Kuelekea nchini Congo kupitia Mpaka wa Kasumulu.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa