• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mbeya City Council Singled Out Praise in Regard to Education

Imetumwa : April 17th, 2017

Kiongozi wa Mbio za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bwana  Amour Hamad Amour ameipongeza Halmashauri ya Jiji kwa kuweza mazingira safi ya waalimu na wanafunzi wakati akifungua nyumba moja ya walimu sita (Six in One) na maabara katika shule ya Sekondari Nsoho.

Bwana Amor ameishukuru Halmashauri ya Jiji kwa kufanikisha jitihada za serikali ya awamu ya tano  kwa kusogeza huduma za elimu karibu na wananchi na kuwa katika mazingira bora kwa kuweza kujenga nyumba moja ya walimu sita na maabara.

" Maendeleo katika sekta ya elimu yanakuja pale  tayari kuna miundombinu mizuri ya kufanya kazi na kuwawezesha walimu kufanya kazi katika mazingira sahihi na wanafunzi kupata huduma hii kiuraihisi." Aidha,  Bwana Amor amesema kuwa uwepo wa maabara unakwenda kuwezesha wanafunzi kusoma kwa vitendo na walimu kuweza kufundisha kwa ari zaidi.

Naye Afisa elimu Sekondari Bibi Lyidia  Herbeth amesema kuwa Shule ya Sekondari Nsoho  kwa nguvu ya wananchi wa Kata tatu Nsoho Ghana na Iziwa kwa kushirikiana na Halmashauri. Ujenzi ya Jengo la nyumba moja ya walimu sita , Jengo limegharimu jumla ya shilingi milioni mia moja tisini na tatu(193,717,300) Michango ya halmashauri na fedha kutoka serikali kuu kwa kushirikiana na Benki ya Dunia katika utekelezaji wa Mpango Maendeleo ya elimu ya sekondari awamu ya pili. MMES II 184,954,300, Halmashauri imetoa sh. 8,723,000

Bibi Herbeth amesema kuwa Katika utekelezaji wa agizo la serikali la kuhakikisha kuwa kila shule inakuwa na nyumba za waalimu, halmashauri kwa kushirikiana na Serikali Kuu imekamilisha jengo la nyumba hiyo itakayotumiwa na walimu sita kwa lengo la kuboresha mazingira ya walimu wa shule ya sekondari nsoho.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa