• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Maji
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Huduma ya Menejimenti ya Serikali za mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mbeya City Council Singled Out Praise in Regard to Education

Imetumwa : April 17th, 2017

Kiongozi wa Mbio za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bwana  Amour Hamad Amour ameipongeza Halmashauri ya Jiji kwa kuweza mazingira safi ya waalimu na wanafunzi wakati akifungua nyumba moja ya walimu sita (Six in One) na maabara katika shule ya Sekondari Nsoho.

Bwana Amor ameishukuru Halmashauri ya Jiji kwa kufanikisha jitihada za serikali ya awamu ya tano  kwa kusogeza huduma za elimu karibu na wananchi na kuwa katika mazingira bora kwa kuweza kujenga nyumba moja ya walimu sita na maabara.

" Maendeleo katika sekta ya elimu yanakuja pale  tayari kuna miundombinu mizuri ya kufanya kazi na kuwawezesha walimu kufanya kazi katika mazingira sahihi na wanafunzi kupata huduma hii kiuraihisi." Aidha,  Bwana Amor amesema kuwa uwepo wa maabara unakwenda kuwezesha wanafunzi kusoma kwa vitendo na walimu kuweza kufundisha kwa ari zaidi.

Naye Afisa elimu Sekondari Bibi Lyidia  Herbeth amesema kuwa Shule ya Sekondari Nsoho  kwa nguvu ya wananchi wa Kata tatu Nsoho Ghana na Iziwa kwa kushirikiana na Halmashauri. Ujenzi ya Jengo la nyumba moja ya walimu sita , Jengo limegharimu jumla ya shilingi milioni mia moja tisini na tatu(193,717,300) Michango ya halmashauri na fedha kutoka serikali kuu kwa kushirikiana na Benki ya Dunia katika utekelezaji wa Mpango Maendeleo ya elimu ya sekondari awamu ya pili. MMES II 184,954,300, Halmashauri imetoa sh. 8,723,000

Bibi Herbeth amesema kuwa Katika utekelezaji wa agizo la serikali la kuhakikisha kuwa kila shule inakuwa na nyumba za waalimu, halmashauri kwa kushirikiana na Serikali Kuu imekamilisha jengo la nyumba hiyo itakayotumiwa na walimu sita kwa lengo la kuboresha mazingira ya walimu wa shule ya sekondari nsoho.

Matangazo

  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha Sita 2020 August 21, 2020
  • Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021 Mkoa wa Mbeya. December 18, 2020
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • Katibu Mkuu Dkt. Jingu: Jamii ipewe elimu kuhusu Anwani za Makazi

    May 18, 2022
  • DKT. JINGU APONGEZA ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI MKOANI MBEYA

    May 17, 2022
  • Waziri Nape aupongeza Mkoa wa Mbeya katika zoezi la Anwani za Makazi

    May 13, 2022
  • Rc Homera atatua mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa miaka miwili

    May 13, 2022
  • Tazama Zaidi

Video

RC Atoa Onyo Kuelekea Uchaguzi
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Copyright ©2019 Mbeya Region . All rights reserved.