• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MBEYA KURUDI NA MAKOMBE UMITASHUMTA TAIFA 2024!!?

Imetumwa : May 29th, 2024

Wanafunzi wanaoshiriki Mashindano ya UMITASHUMTA Kutoka Shule za Msingi Mkoani Mkoani Mbeya wameaswa kutanguliza Nidhamu pindi wanaposhiriki Michezo hiyo kwakuwa Siri ya Ushindi wao na Ufauli wao imejificha hapo.

Kaimu Afisa Elimu Mkoa wa Mbeya Mr. Emmanuel George ametoa Rai hiyo wakati akifunga Mashindano hayo kwa ngazi ya Mkoa yaliyofanyika Shule ya Sekondari Iyunga Jijini Mbeya na Kutoa Baraka zote kwa Wanafunzi waliochaguliwa kushiriki Michezo ngazi ya Taifa Mkoani Tabora.

"Hakuna Ufaulu Wala Ushindi Unaweza kupatikana bila Kujali Nidhamu hivyo kashindaneni kufa na kupona na Shauku yangu kuona siku mnarejea Mje Mkiwa mmebeba Makombe ya Michezo mtakayoshindania" Amesema George

Kwa Upande wa Maafisa Michezo Halmashauri,Walimu na Wakufunzi(Coaches) amewapongeza kwa jitihada zao za wazi za kuwatengeneza Watoto kimichezo Kisha akawaasa waendelee kujitoa kuwasimamia kwa Ukaribu ili nia ya Mkoa wa Mbeya kuibuka Kinara wa Michezo kama ilivyo kwenye Elimu isipotee.

Robert Mfugale ni Afisa Michezo Mkoa wa Mbeya amemuahidi Mgeni Rasmi kuyasimamia yote aliyoyaagiza na Hana shaka na uimara wa Timu zinazokwenda kuiwakilisha Mbeya katika Mashindano ya Kitaifa "Makombe tutarudi nayo Mh: Mgeni Rasmi Inshallah" alimaliza Mfugale.

Mashindano ya UMITASHUMTA Ngazi ya Mkoa yamemalizika ambapo yalishirikisha Timu Kutoka Halmashauri zote za Mbeya, na Kyela kuibuka Mshindi wa Jumla Licha ya Halmashauri zingine kuibuka Mshindi katika Mchezo Mmoja Mmoja.

Kambi kwaajiri ya Washiriki wawakilishi Kitaifa inaanza Tarhe 29 Mei 2024 hadi Tarehe 4 Mei na Tarehe 5 Timu hiyo itasafiri kuelekea Mkoani Tabora.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa