• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mh. HOMERA AZINDUA ZOEZI LA UGAWAJI VYANDARUA VYENYE DAWA MASHULENI

Imetumwa : October 19th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Comrade Juma Homera amezindua rasmi Zoezi la Ugawaji Vyandarua vyenye Dawa kwa Wanafunzi Mashuleni ikiwa ni sehemu ya Mikakati na Mipango Madhubuti ya kuzuia, kuteketeza na kutokomeza kabisa Maralia kwa Mkoa wa Mbeya.

Vyandarua hivyo vimepokelewa na Maafisa Elimu Kutoka Halmashauri zote kwa niaba ya Wanafunzi na Kisha Zoezi la Uzinduzi na Ugawaji litaendelea katika Kila Wilaya na Halmashauri kwa Usimamizi wa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kwa kishirikiana na Maafisa Elimu.

Zoezi hilo limefanyika Leo katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa ambapo RC Homera ameshiriki katika kikao maalumu Cha kujadili, kupokea maoni na kushauri Njia mbadala za kuzuia na kutokomeza Ugonjwa huo hatari unaozidi kuua Maelfu ya Watu Duniani.

Katika Hotuba yake RC Homera amewaasa Maafisa Elimu kutoonyesha Upendeleo wa aina yeyote wakati wa Ugawaji wa Vyandarua hivyo bali Kila Mmoja apate kulingana na taratibu zilivyowekwa na Mamlaka husika.

 "Maafisa Elimu Naomba mgawe Vyandarua pasipo Ubaguzi wowote na hizo timu zitakazokuwa zinahusika basi zifanye kazi kwa Njia ya haki ili Kila Mtoto apate chandarua aweze kujikinga na Ugonjwa wa Maralia"

RC Homera amesema Zoezi hili la Ugawaji wa Vyandarua Mashuleni ni Adhima ya Serikali ya awamu ya sita kuhakikisha inapunguza maambukizi ya Maralia Kutoka Asilimia 8.1 Mwaka 2022 mpaka kufikia kiwango Cha Chini Cha Asilimia 3.5 ifikapo Mwaka 2025.

Kikao hicho kilichofanyika Leo Oktoba 18 2023 kineshirikisha Wadau mbalimbali wakiwemo Wizara ya Afya, Wizara ya Elimu Wizara ya TAMISEMI, MSD Taasisi na Viongozi Kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Mbeya.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa