• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mipango na Bajeti za Halmashauri zilenge Kupunguza Umaskini

Imetumwa : June 26th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makalla amezitaka halmashauri za Mkoa kuhakikisha kuwa mipango na Bajeti za halmashauri zao zilenge kupunguza umaskini na kutatua kero za wananchi hasa sehemu za Vijijini.

Mhe. Makalla ameyasema hayo leo wakati wa Kikao cha viongozi na watendaji kupokea taarifa ya viashiria vya umaskini nchini iliyoandaliwa na shirika la  utafiti juu ya kupunguza umaskini (REPOA)

Amesema kama umaskini unapimwa kwa hali ya kipato au kumudu huduma za msingi basi ni jukumu la viongozi na watendaji kuweka mipango mizuri kwenye bajeti zao za namna ya kusimamia masuala ya kuwezesha wananchi kiuchumi.

Akitoa wasilisho la viashiria vya umaskini Mtafiti Mwandamizi Dkt Blandina Kilama (Phd) amesema kuwa mwaka 2015 Wizara ya Fedha iliomba REPOA kufanya kazi ya kutafuta viashiria vya umaskini kwa wilaya ambazo zina umaskini na wilaya zenye auheni ya umaskini.

Dkt Kilama alisema utafiti huu umekuja baada ya Taarifa ya awali kulalamikiwa na Wilaya zilizokuwa zina kiwango kikubwa cha umaskini na Wilaya zilizokuwa na kiwango kidogo cha umaskini.

Amesema kuwa kwa Mkoa huu Mbarali ndio imechukuliwa kufanyiwa utafiti baada ya kuonyesha kuna ongezeko kubwa la umaskini toka mwaka 2002 umaskini ulikuwa 13.1% na kufikia mwaka 2012 ilikuwa na kiwango cha 23.6%.

Akichangia wasilisho hilo Afisa maendeleo ya Jamii Chunya Bibi Ester Mwakalindile amesema ni vema kupima viashiria vya umaskini kutokana na rasilimali zilizopo katika eneo husika ili kuweka uhalisia wa Takwimu za umaskini katika halmashauri.

Bibi Mwakalindile amesema kuwa viashiria vya umaskini haviwezi kuwa sawa kila halmashauri nchi ukizingatia kuna tofauti ya hali ya hewa ya eneo kwa ajili ya kilimo, maeneo ya shughuli za kijami, Elimu nan uelewa wa wananchi wa maeneo husika.

Utafiti wa hali ya kipato kwa kaya wa mwaka 2012  ndio umepelekea kuanza kwa utafiti wa viashiria vya umaskini  katika baadhi ya mikoa ukiwepo mkoa wa Mbeya hususani Wilaya ya Mbarali.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa