• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Mkoa Atekeleza Agizo kwa Wakati

Imetumwa : June 9th, 2020

9th June, 2020.

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh.Albert Chalamila amefanyamkutano na wananchi wa kijiji cha Isyonje ambacho kipo katikampaka wa Mbeya na Rungwe ambapo wananchi wa kijiji hichowalikua katika mgogoro wa mda mrefu kati yao na TANROADS kuhusu kulipwa fidia ya maeneo yao wanayoishi ambapomwaka 2017 Tanroad iliwapa taarifa wananchi wanaoishi eneohilo la Isyoke kuhama na kuwahidi kuwalipa fidia wananchi waeneo hilo ndani ya miezi 6.

Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Isyoke Mkuu wa mkoaamewaeleza kua Mheshimiwa raisi wa Jamuhuri ya Muunganowa Tanzania Dr.John P. Magufuli alisikia kilio cha wananchi wakijiji hicho leo asubuhi kupitia radio ya taifa TBC wakilalamikakucheleweshewa kulipwa fidia kwa mda mrefu tangu 2017 walipoambiwa na Tanroad kuhusu eneo lao kutaka kutumikakwa ajili ya ujenzi wa mizani na kuahidiwa kulipwa fidia ndaniya miezi sita lakini mpaka leo hawajalipwa fidia zao hukuwakipewa tangazo la kutoliendeleza eneo lao kwa kujenga nakutakiwa kusubiria fidia. Wananchi hao walitoa kilio chao nakumuomba Mh. Raisi awasikilize kwani nyumba zao zinazidikuharibika na kushindwa kuzifanyia ukaratabati kutokana nakatazo walilopewa na Tanroad. Mkuu wa mkoa alieleza kuaMheshimiwa Rais amemuagiza kwenda kuwapa taarifa Tanroadkuwa eneo hilo la Isyonje libaki kwa wananchi lisichukuliwe,amewataka Tanroad wanapotaka kuchukua eneo lolote la wananchi kwa ajili ya ujenzi wanatakiwa kuwalipa kwanza fidiandani ya miezi sita. 

Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mh. Julius Chalya kushotoakimuonyesha Mkuu wa Mkoa maeneo ambayo Tanroadilipanga kubomoa ili kupisha ujenzi wa mizani katika kijiji cha Isyonje, kulia ni mkuu wa wilaya ya mbeya mjini Mh. Paul Ntinika 

Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya RPC  Ulrich Mateiakizungumza na wananchi wa Isyonje na kuwasihi kuendelezakulinda swala la ulinzi na usalama wa mkoa wa mbeya.

 

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa