• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

NEEMA YAZIFIKIA KATA TANO ZA KYELA UZINDUZI WA KITUO CHA AFYA ITUNGE.

Imetumwa : August 29th, 2024

Mwenge wa Uhuru 2024 kupitia kwa Ndg: Godfrey Eliakim Mnzava na timu yake umekagua na kuzindua Mradi wa Ujenzi wa Kituo Cha Afya Itunge Kilichoko Kata ya Itunge Halmashauri ya Wilaya ya Kyela na kuwaasa wataalam na Wahudumu ngazi ya Afya kuwa na Kauli Njema hasa wanapowahudumia Wagonjwa.

Mnzava akiwa wilayani Kyela katika Majukumu yake ya kukimbizwa na kumulika Miradi Mbalimbali ya Maendeleo kupitia Mwenge wa Uhuru Amesema Serikali imewekeza Nguvu nyingi kwenye sekta ya Afya hivyo ni Vyema Wahudumu wakawa na Kauli Njema kwa Wagonjwa sambamba na Kuiwekea uangalizi wa Kutosha dhidi ya Watu Wachache wasio na dhamili Njema.

Mradi huo utakaohudumia Wananchi wa Vitongoji vinne Ndani ya Kata ya Itunge na Maeneo Jirani mpaka Sasa umegharimu Jumla ya Shilingi 702,500.000 kwa kujenga Jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD), Maabara, Nyumba ya Watumishi(Three in one), Jengo la Mama na Mtoto, Njia(Walk way) na kichomea taka.

Chanzo Cha Mapato ya Ujenzi wa Kituo hiki ni Serikali kuu ambayo ilitoa 590,000,000 Halmashauri ya Wilaya Sh. 50,000,000 na Nguvu za Wananchi TSH. 12,500,000 na Wadau wa Maendeleo TSH 50,000,000.

Kukamilika kwa Mradi huu wa Kituo Cha Afya utasogeza kwa Karibu huduma za Matibabu ya haraka kwa Kata Tano za Halmashauri ya Wilaya ya Kyela ambazo ni Itunge, Mwaya, Kajunjumele, Serengeti na Bondeni.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC DKT. HOMERA AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI NNE AFRIKA

    May 26, 2025
  • "WAFUNDISHENI PIA ULAJI WA LISHE WATU MAOFISINI" - RC DKT. HOMERA

    May 26, 2025
  • FISTULA INATIBIKA, MATIBABU NI BURE, KARIBU UHUDUMIWE - DKT. HOMERA

    May 19, 2025
  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa