• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

OFISI YA MUFTI TANZANIA YAUNGA MKONO SERIKALI KUTUNZA MAZINGIRA

Imetumwa : December 3rd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mh: Jaffar Haniu Kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Cde: Juma Z. Homera ameongoza Zoezi la Upandaji Miti lililoandaliwa na Ofisi ya Mufti Tanzania kupitia Baraza la Waislam Tanzania(BAKWATA) kama sehemu ya Kuunga jitihada za Serikali za kutunza Mazingira kupitia Kampeni ya Upandaji Miti katika Kila Wilaya.

Mh: Hanniu amezindua zoezi hilo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Kutoa wito kwa Wananchi wa Mkoa wa Mbeya Kulinda na kutunza Mazingira pasipo kushurutishwa na mtu

"Sisi tunapumua kupitia hewa ya Oxygen na Oxygen ni sehemu ya Uhai wetu kwahyo naipongeza saana Ofisi ya Mufti kupitia Baraza la Waislam Tanzania BAKWATA na Uongozi wa Ofisi ya Sheikh Mkuu wa Mkoa kwa Uratibu Mzuri wa Shughuli hii

Kwa Upande wake Sheikh Mkuu wa Mkoa kwaniaba ya Mufti wa Tanzania Sheikh Msafiri Njalabaha amesema wao kama BAKWATA wameamua kuiunga Serikali katika Kampeni hii ya Upandaji Miti na wamejiwekea Malengo ya Kupanda Miti Milioni Mbili kwa Mwaka hapa Nchini.

"Katika Dini Zetu Tunafundishwa kuwa Mwanadamu akifariki Mambo yake yote yanakoma isipokuwa Sadaka ya Kuendelea aliyoifanya na miongoni mwa Sadaka hizo ni ya Upandaji Miti Ukipanda mti unakuwa umeweka ukumbusho kwa kuyafanyia Mema Wanadamu wenzako Amesema Sheikh Njalabaha."

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Bi Anna Mwambenee amesema Mti ni Uhai wa Binadamu, Miti ni Matunda, Miti ni Chakula na Miti ikiwepo hali ya hewa inakuwa Nzuri,na Ustawi wa Miti tunapata mpaka Dawa za kuponya baadhi ya Malachi yetu hivyo tunawashukuru kwa Kampeni hii Nzuri nasi tunawaahidi kuitunza Miti hii kamailivyo dhamila ya Serikali Amesema!

Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini Dkt:Tulia Ackson Amesema Dkt: Tulia ni Moja Kati ya Viongozi wanofurahishwa na Ustawi wa Mbeya katika Kuimarisha Ukijani wake kama ambavyo Mbeya inafahamika kuwa(The Green city) hivyo amezipongeza juhudi za BAKWATA na kuahidi kwaniaba ya Wananchi kuitunza Miti hiyo na kuendelea Kutoa Elimu kuhusu madhara ya Kukata Miti na faida ya kutunza Miti.

Kampeni hii ya Upandaji Miti Kutoka BAKWATA imebeba Kauli mbiu ya Kupanda Miti ni Sadaka yenye kuendelea.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa