• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Rc awapongeza Mbeya Dc kwa kuanza kutoa huduma kituo cha Afya Swaya

Imetumwa : April 27th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Juma Zuberi Homera leo tarehe 26.04.2022 amefanya ziara katika halmashauri ya Mbeya vijijini  na kufungua kituo cha Afya Swaya ambacho kimekua kitua cha kwanza kuanza kutoa huduma ukilinganishana Wilaya nyingine ambacho kwa awamu ya kwanza kimegharimu kiasi cha shilingi milioni 250 na awamu ya pili ujenzi umeanza kwa majengo ya Mama na mtoto pamoja na chumba cha kuhifadhia maiti (Mortuary).

Akizungumza na wananchi mbalimbali walio hudhuria ufunguzi huo Rc Homera alimpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbeya Dc Steven Katemba kwa kazi kubwa anayoifanya katika Halmashairi yake pamoja na wakuu wa Idara mbalimbali kuhakikisha miradi yote inayoletwa na serikali inakamilika kwa wakati.

Kwa upande wake Katibu tawala wa Mkoa wa Mbeya Dkt Angelina Lutambi alisema kuwa wana Swaya wamepata bahati kubwa ya ujenzi wa kituo hicho cha Afya na kuwataka kuendelea kumuunga mkono Raisi wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan ili azidi kuendelea kuwaletea maendeleo zaidi na kuahidi kuendelea kuhakikisha kusimamia Ujenzi na fedha zote alizoleta Mh. Rais zinatumika kukamilisha majengo yote yaliyokusudiwa kwa wakati ili kuweza kuwapatia huduma wananchi.

Mkurugenzi wa Mbeya Dc Steven Katemba kwa upande wake amesema kuna vijiji 140 ambapo katika vijiji hivyo 95 vitakabidhiwa mizani kwa ajili ya kupimia uzito watoto wadogo na kwa awamu ya pili watamalizia vijiji vingine ambavyo vitabaki. Mizani itasaidia kujua upande wa lishe kwa watoto, pia aliweza kugawa vitabu maalum vya mahudhurio ambavyo vitakuwa vikitumika kufanya kazi kila siku kwa ajili ya kutambua idadi ya watoto wenye mahitaji maalum ili kuweza kuwasaidia.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa