• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC Azindua Kituo Cha Afya IKUKWA

Imetumwa : July 2nd, 2020

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh. Albert Chalamila leo amezindua kituo cha afya katika kijiji cha Ikukwa  Wilaya ya  mMbeya  kilicho gharimu kiasi cha shilingi milioni 800 ambazo zimetolewa na serikali kuu ya awamu hii ya tano.   

Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho Mkuu wa Mkoa amesema kuwa ameridhishwa na utendaji wa Mbunge wa wa Jimbo  pamoja Madiwani  wake kwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa kituo hicho  hadi kumalizika, 

Mhe Chalamila amesema kuwa  ameamua kufika mwenyewe  kuona maendeleo katika kijiji cha Ikukwa na kuona Changamoto mbalimbali wanazozikabili wananchi wa kijijihicho ikiwa ni pamoja na tatizo la umeme na kuahidi kuwa kabla yamwezi wa kumi na mbili mwaka huu atahakikisha Umeme umefika katika kituo hicho cha afya, Ameongeza  kuwa Mkoa waMbeya umeweza kujenga vituo vipya 19 vya afya katika awamuhii ya tano ya serikali chini ya uwongozi wa Mheshimiwa raisiDr. John Pombe Magufuri ambaye moja ya ahadi zake nikuhakikisha vijiji vyote hapa nchini vinapata umeme.

Mkuu wa mkoa aliendelea kueleza kuwa changamoto nyinginealiyoiyona wakati akiwa njiani ni ubovu wa barabara hadi kufikakatika kijiji hicho cha Ikukwa na kuahidi pia kushughulikiaswala la maji ambalo pia ni changamoto katika kijiji hicho. Aliwaeleza wananchi kuwa vijiji vingi ambavyo vipo katikamipaka hua na changamoto nyingi za mda mrefu ila ataanzakushughulikia swala la Umeme na Maji ili kuzidi kupelekamaendeleo katika kijiji hicho.

Mbeya kuna vijiji 533 na mpaka sasa vijiji 154 tu ambavyo badohavijapata umeme na katika Zahanati hiyo ya Ikukwa serikaliimetenga kiasi cha shilingi milioni 29 laki 6 na tatu elfu 974 ilikukamilisha swala la umeme.        

                                                                                                                      

            

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Albert Chalamila akikaguamajengo ya kituo cha afya Ikukwa kabla ya kukizindua rasmi.

                                                               Kituo cha Afya Ikukwa

                                                                                                                           

                               

                                 Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh. Oran Njezaakizungumza na wananchi.

 

                           Wananchi mbalimbali waliojitokeza katika

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa