• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Rc Homera atatua mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa miaka miwili

Imetumwa : May 13th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Juma Zuberi Homera amemaliza mgogoro wa ardhi uliodumu kwa kipindi cha miaka miwili ukimhusisha bwana Mahenge na Bi Rehema. 

Mgogoro huo ulioleta taswira mpya mara baada ya kutolewa taarifa na vyombo mbalimbali vya habari nchini kuhusiana na malalamiko ya bibi huyo ambeya aliweza kupita katika ofisi mbalimbali za serikali ili kuomba msaada.

Homera amesema chanzo cha mgogoro huo ni Bi Rehema alikuwa analima katika shamba la mzee Mahenge kwa kipindi cha muda mrefu baada ya kuazimwa na Mzee Mahenge ili afanye shughuli zake za kilimo cha mahindi na mazao mengine mbalimbali ambapo baada ya kulitumia shamba hilo kwa muda mrefu ndipo ilipofika kipindi mzee Mahenge alihitaji shamba lake ili aweze kulitumia.

Aidha kwa kipindi hicho Bi Rehema alikuwa tayari ameshapanda mazao yake na akiwa anasubiria ili aweze kuvuna ambapo Mzee Mahenge aliona itachukua muda mrefu na kufyeka mazao hayo ili aweze kulitumia shamba lake na kupelekea uharibifu mkubwa shambani hapo ndipo Bi Rehema alipoamua kuchukua hatua ya kwenda kushitaki sehemu mbalimbali za Serikali ili kuweza kupatiwa msaada.

Pia aliweza kufika Dodoma wakati Mh Rais akihutubia katika mkutano mkubwa wa wazi ambapo aliweza kupata nafasi ya kutoa malalamiko yake na kuomba msaada asaidiwe. Mh Raisi alitoa agizo Bibi huyo asaidiwe ili aweze kupata haki yake ambapo tathmini iliweza kufanyika na Mkoa wa Mbeya na ilionyesha ni Kweli mzee Mahenge alifyeka mazao ya Bibi huyo na kupelekea hasara kubwa.

Homera amemkabidhi Bibi huyo kiasi cha shilingi milioni 13 mbele ya Waandishi wa Habari pamoja na Kamanda na Polisi Mkoa wa Mbeya ambapo Bibi huyo aliweza kwenda kuhifadhi katika Benki.

Amewataka wananchi kuacha mara moja tabia ya kujichukulia sheria mkononi katika jambo lolote na kuwasihi kufata sheria za nchi ili kujiepusha na matatizo mbalimbali yanayoweza kuwakabili.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa