• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC HOMERA:Usafiri saa 24 kuanza kwa Vibali maalum Mbeya

Imetumwa : June 28th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Juma Zuberi Homera ametoa fursa kwa wamiliki wa vyombo vya usafiri wa umma hususan mabasi makubwa ya abiria kufuata utaratibu wa kuchukua vibali kwa ajili ya usafirishaji kwa saa 24  maarufu kama ''hakuna kulala'' kwa lengo la kukuza uchumi wa Mkoa.

Homera amesema kuwa mkoa hauko tayari kupiga marufuku mabasi madogo maarufu kama ''hakuna kulala'' kusafirisha abiria kwenda mikoani na kwamba hatua hiyo itachangia kushuka kwa mapato ya mkoa.

''Siwezi kupiga marufuku Mabasi ya hakuna kulala kwani yanachochea uchumi kutokana na shughuli za kiuchumi kwa wafanyabishara sasa tunachofanya ni kuzungumza na wamiliki ili kuingia mkataba na Jeshi la Polisi kwa ajili ya kuimarisha ulinzi,'' amesema.

Amesema kuwa Serikali imekuwa ikitegemea mapato kutokana na shughuli za kiuchumi hivyo kama mkoa utalazimika kuona vibali vinatolewa kwa wawekezaji wa mabasi makubwa na kuhakikisha abiria wanakuwa salama.

''Tunataka mfanyabishara anaondoka jioni jijini Mbeya leo jioni na alfajili yupo  Dar es- Salaam  anafunga mzigo ananza safari ya kurejea Mbeya na kuendelea na shughuli za uzalishaji,'' amesema Homera.

Ofisa Mfawidhi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra), Denis Saudi amesema wamepokea maagizo hayo na kwamba wanasubiri maelekezo kutoka Latra makao makuu ili kuanza utekelezaji wa utoaji wa vibali vya kusafirisha abiria nyakati za usiku.

Amefafanua kuwa hivi karibuni kulikuwepo na utaratibu wa utoaji wa vibali kwa mabasi yanayofanya safari za mchana kutoka Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam lakini vimesitishwa kutokana na sababu za kiusalama.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa