• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

RC Mbeya akataza shughuli za 'lambalamba'

Imetumwa : March 20th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amos Makalla, amemwagiza Mkuu wa Wilaya ya Mbarali kumkamata mara moja   mganga wa tiba za asilimaarufu kama (rambaramba) kwa madai kuendesha shughuli zake kinyume cha sheria  kwa lengo la kuondoa wadudu wanaodaiwa kumwagwa kwa njia za kishirikina katika Kata ya Igurusi.

Mhe Makalla, alitoa agizo hilo jana kwenye mkutano wa hadhara ,  baada ya kuusikiiza malalamiko ya wananchi waliyodai kushamili kwa vitendo vya kishirikiana hususan wanaume kungiliwa  kinyume cha maumbile na kumwagwa kwa  wadudu hao   jambo lililowalazimu kuchanga fedha na kumleta mganga huyo.

Mhe Makalla alimwagiza Mkuu wa Wilaya na Kamati ya Ulinzi na Usalama kuweka kambi katika kata hiyo sambasamba na kumtia nguvuni mganga huyo na wananchi walioshiriki kuhamasisha michango.

Wakiongea katika Mkutano huo wananchi wa kata hiyo wamesema kuwa wamechoshwa na ushirikina uliopo na kwamba umefikia wakati hata wanandoa wanaingia katika na migogoro inayotokana kuingiliwa kimwili kwa njia za  kishirikina.

"Tatizo ni kubwa  pia kuna  wanafunzi wamekuwa wakizimia na kupoteza fahamu,mauaji ya kinyama,watoto kupotea katika mazingira ya kutatanisha na kukutwa mifupa maporini" alisema Jerat Mwambusi.

Lucas  Mwakasege aliomba  serikali, viongozi wa dini,mila na machifu kushirikiana kukemea vitendo hivyo kwani vinachangia kushuka shughuli za kiuchumi na jamii kugoma kuchangia miradi ya maendeleo.

"Msema kweli mpenzi wa mungu hawa wadudu, sasa ni mwezi hata tukipulizia dawa hawafi yani hatulali usingizi pia unakuta wanandoa asubuhi mkiamka mnakuta mmeingiliwa vibaya sana "alisema.

Mchungaji wa kanisa la Pentekoste Tanzania (KLPT) ushirika wa Mbarali Yoma Moses alisema kuwa wanakemea vitendo hivyo na kuomba wananchi wamche Mwenyezi Mungu ili visijirudia na kuondokana na imani potofu za kishirikina

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya Reuben Mfune alisema kuwa utekelezaji wa agizo hilo unaanza mara moja na kuwataka wananchi kutoitupia lawama Serikali kutokana na vitendo vya mauaji.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa