• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
        • Orodha Mpya ya Vitu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

Imetumwa : April 25th, 2025

Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi imeridhishwa na Majibu/Maelezo kuhusu Mapendekezo ya ugawaji Jimbo la Mbeya Mjini Kutoka kwa Wadau wa Uchaguzi wilayani Mbeya na kuahidi kuyapeleka Maelezo na Mawazo yao kwa uongozi wa juu kwaajiri ya Utekelezaji zaidi.

Katika Kikao Maalumu kilichoongozwa na Mwenyekiti Mhe.Magdalena Rwebangira Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi, kilichofanyika katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa, Wadau wa Uchahaguzi wamekiri mbele yake kuwa mapendekezo yaliyopelekwa Tume juu ya ugawaji wa Jimbo hilo yako sawa.

Mapendekezo ya ugawaji wa Jimbo yaliyopelekwa yanaeleza Namna Wadau na Wananchi wanachotaka Jimbo la Mbeya Mjini kuzalisha majimbo Mawili(Jimbo la Mbeya Mjini litakalokuwa na Jumla ya Kata 23 na Jimbo la Uyole litakalokuwa na Jumla ya Kata 13).

Kwa Mjibu wa Taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi Bi Giveness S. Aswile Amesema mapendekezo ya Jumla ya Kata na mgawanyo wake ni kuwa Jimbo la Uyole lina Kata za,Mwansekwa, Ilemi, Isyesye, Itezi, Ilomba, Iganjo, Iduda, Igawilo,Tembela, Mwasanga,Mwakibete, Nsalaga na Uyole,

Na Jimbo la Mbeya Mjini litakuwa na Kata za Iziwa, Itende, Iwambi, Iyunga, Iyela, Isanga, Itiji, Iganzo, Itagano, Nsoho, Ghana, Sisimba, Maendeleo, Nonde, Majengo, Mbalizi Road, Sinde, Maanga, Ruanda, Mabatini, Forest, Nzovwe, Kalobe.

Aidha Kikao hicho pia kimehudhuliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Juma Z. Homera, Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mh. Beno Malisa na Viongozi mbali mbali wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya wakiongozwa na Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Mh. Dormohammed Issa.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU "MOCK" KIDATO CHA NNE MKOA WA MBEYA 2024 August 20, 2024
  • FOMU YA MAOMBI YA USHIRIKI WA MAONESHO YA NANENANE 2024 July 23, 2024
  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • MAANDALIZI YA SHEREHE ZA NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAANZA KWA KISHINDO

    April 30, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII WAHIMIZWA KUTUMIA MFUMO WA IMES

    April 29, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YARIDHISHWA NA MAJIBU YA WADAU KUHUSU MAPENDEKEZO UGAWAJI WA JIMBO LA MBEYA MJINI.

    April 25, 2025
  • DKT. HOMERA AAGIZA MRADI KUKAMILIKA HARAKA IWEZEKANAVYO ILI WANANCHI WAPATE HUDUMA

    April 14, 2025
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • EOFFICE
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiria Nje ya Nchi
  • Tovuti ya Serikali

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    2 Barabara ya Kamishina, 53180 MBEYA

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025-2504045

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa