• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mbeya Region
Mbeya Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Misingi Mikuu
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu
      • Uwekezaji, Viwanda na Biashara
      • Usimamizi, Ufuatiliaji na Ukaguzi
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
    • Vitengo
      • Tehama na Takwimu
      • Fedha
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Mbeya
    • Chunya
    • Mbarali
    • Rungwe
    • Kyela
  • Halmashauri
    • Kyela
    • Busokelo
    • Mbeya
    • Chunya
    • Rungwe
    • Mbarali
    • Jiji la Mbeya
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
      • Ziwa Ngozi
      • Milima ya Mbeya
      • Daraja la Mungu
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma
    • Afya
    • Elimu
    • Kilimo
    • Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Nyaraka
    • Sheria
    • Fomu ya Maombi
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uzinduzi wa uandikishaji wa Mfuko wa Afya wa Jamii Ulioboreshwa

Imetumwa : April 5th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe.Albert Chalamila amesema moja ya vipaumbele vya Serikali ya Awamu ya Tano ni kuhakikisha kwamba wananchi hasa wa sekta zisizo rasmi wanapata matibabu kupitia mifumo ya bima ili kufikia lengo la afya bora kwa wote.                        

Mhe. Chalamila ameyasema hayo leo wakati akifanya uzinduzi wa usajili wa wanachama wa Mfuko wa Afya ya Jamii Uliyoboreshwa na kusema  serikali ina malengo ya muda mrefu ya kuwa na mfuko moja wa bima ya afya ambao kila mwananchi atachangia.                            

 “Ninaagiza Wakurugenzi kuhakikisha mnaandaa mikataba haraka kwa ajili ya maafisa waandikishaji ngazi ya Vijiji/Mitaa  na wasimamizi wa CHF ngazi  ya Tarafa. Aidha simamieni zoezi la ununuzi wa simu za vituo vya kutolea huduma”. Mhe Chalamila                        

Akisoma taarifa Mratibu wa CHF Mkoa Bibi Selina Mtenya ameishukuru Wizara ya OR-TAMISEMI kwa kuwezesha mafunzo ya mfuko wa afya ya jamii iliyoboreshwa katika ngazi ya Mkoa na Wilaya na kuwashukuru wadau wa maendeleo GIZ kwa kuwezesha magunzo ya CHF ngazi ya Tarafa na Vijiji/Mitaa.

Bibi Mtenya amesema kuwa usajili utafanyika kwa Kaya kwa kutumia teknolojia ya kisasa ya simu ya mkononi (Smartphones) na hakutakuwa na gharama za kupiga picha na kila mwanachama atapatiwa kitambulisho chake.                                                         “Kiwango cha mchango wa mfuko wa afya ya jamii ulioboreshwa ni sh.30,000 kwa kaya ya watu sita kwa Mawala na Serikali itachangia kiasi kama hicho cha sh. 30,000 na mwanachama atapata huduma kuanzia ngazi ya za Zahanati, Kituo cha Afya, Hospitali za Wilaya na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa kwa kizingatia utaratibu wa rufaa.” Bibi Mtenya.            

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji SSP James Kasusura amehidi kufanya hamasa kuanzia ngazi ya mitaa na kuhakikisha wanaandikisha wanachama wengi ili kuuweka mkoa katika nafasi nzuri.


Matangazo

  • Fomu ya Maombi Ushiriki wa Maonesho ya Nanenane_2023-_Kiswahili July 03, 2023
  • WANAFUNZI WALIOPANGWA KATIKA VITUO VYA UFUNDI STADI NA ELIMU NJE YA MFUMO RASMI MKOA WA MBEYA February 03, 2023
  • Uzinduzi wa Mwongozo wa Uwekezaji March 11, 2021
  • Fomu za Maelekezo kwa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano 2021 Shule za Mkoa wa Mbeya (Joining Instructions) June 07, 2021
  • Tazama Zaidi

Habari Mpya

  • RC HOMERA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA HOSPITALI YA RUFAA KANDA MBEYA

    September 18, 2023
  • RC HOMERA ATEMBELEA KITUO CHA STAREHE NA BURUDANI MBEYA( MBEYA CITY PARK)

    September 17, 2023
  • RC HOMERA AWATUNUKU TUZO NA VYETI WAKIMBIZA MWENGE KITAIFA 2023

    September 14, 2023
  • KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AZINDUA MRADI WA MAJI KIBAONI MBARALI

    September 11, 2023
  • Tazama Zaidi

Video

MAONESHO YA NANENANE KITAIFA MBEYA
Video

Viunganishi vya Haraka

  • Mbeya Regional GNP Report 2015
  • Barua Pepe za Watumishi
  • Mbeya kwa Namba
  • Utaratibu wa Uhamisho
  • Fomu ya Ruhusa
  • Maoni na Malalamiko
  • Mafanikio ya TASAF
  • OPRAS Fomu
  • Fomu ya Matibabu

Viunganishi Linganifu

  • Sekretarieti ya Ajira
  • Utumishi
  • Ikulu
  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Ajira

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Uzunguni Road

    Anuani ya Posta: P. O.Box 754,Mbeya.

    Simu: 025 2503034

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras@mbeya.go.tz

Anwani Nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Haki Miliki©2023 Mkoa wa Mbeya. Haki zote Zimehifadhiwa